Tr#h673@8oAA7
NEEMA Citizen Tv 23 April 2025
๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐๐
๐๐ก๐๐ง๐ค๐ฌ ๐๐๐๐ฆ ๐๐๐๐ฆ๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฎ๐ฉ๐๐ง๐๐จ ๐ฐ๐๐ง๐ฎ.
๐ฐ๐๐ค๐ ๐๐๐๐ ๐ฎ๐ค๐ข๐๐ง๐๐๐ฅ๐๐ kusoma
๐๐๐๐ ๐
๐๐ฌ๐ฎ๐๐ฎ๐ก๐ข ๐ง๐ ๐ฆ๐๐ฉ๐๐ฆ๐, ๐๐๐๐ฆ๐ ๐๐ฅ๐ข๐ค๐ฎ๐ฃ๐ ๐ง๐ ๐๐๐ซ๐ค ๐๐ค๐๐ฆ๐ฎ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ ๐ค๐๐ฆ๐ ๐๐๐ง ๐ฐ๐๐ฆ๐๐๐ง๐๐? ๐๐๐๐ฆ๐ ๐๐ค๐๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ฒ๐๐๐ก ๐๐ค๐๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐๐จ๐ฃ๐จ ๐ฃ๐? ๐๐๐ซ๐ค ๐๐ค๐๐๐ฆ๐๐ข๐ฐ๐ ๐ฉ๐ข๐ ๐๐ฆ๐๐๐ง๐๐ ๐ง๐ ๐๐๐ฒ๐๐๐ง,๐ค๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐๐๐ซ๐ค ๐๐ค๐๐ฆ๐๐๐๐ ๐๐๐๐ฆ๐ ๐๐ฅ๐ฅ ๐ญ๐ก๐ ๐ฐ๐๐ฒ ๐ค๐ฎ๐ญ๐จ๐ค๐ ๐ฌ๐ข๐ญ๐ญ๐ข๐ง๐ ๐ซ๐จ๐จ๐ฆ ๐ก๐๐๐ข ๐๐๐๐ซ๐จ๐จ๐ฆ,๐ฐ๐จ๐จ๐จ๐ฐ! ๐๐๐๐ฆ๐ ๐ก๐๐๐ข ๐๐ง๐๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐๐ง๐ฒ๐๐ฐ๐ ๐ฎ๐ง๐ ๐ง๐ ๐ฎ๐ฏ๐ฎ ๐ค๐ฐ๐๐ฅ๐ข,๐ค๐๐ง๐ข๐๐๐๐ ๐ญ๐จ๐ค๐ ๐๐ก๐ข๐ง๐ข ๐ก๐๐๐ข ๐ก๐ฎ๐ค๐ฎ ๐ฃ๐ฎ๐ฎ,๐ฒ๐จ๐ฎ ๐๐ซ๐ ๐ญ๐ก๐ ๐ฆ๐๐ง ๐จ๐ ๐ฆ๐ฒ ๐๐ซ๐๐๐ฆ๐ฌ.
๐๐๐ซ๐ค ๐ง๐ ๐๐๐๐ฆ๐ ๐ฐ๐๐ง๐๐ฉ๐๐ง๐๐๐ง๐ ๐ฌ๐๐ง๐ ๐ก๐ฎ๐ค๐ฎ ๐๐๐๐ฆ๐ ๐๐ง๐๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐๐๐ซ๐ค,๐ฌ๐จ๐จ๐ง ๐ญ๐ฎ๐ค๐ข๐ฐ๐ ๐จ๐๐๐ข๐๐ข๐๐ฅ๐ฅ๐ฒ ๐ฐ๐ข๐๐ ๐ง๐ ๐ก๐ฎ๐๐๐ฒ ๐ญ๐ฎ๐ฐ๐ ๐ญ๐ฎ๐ค๐ข๐ญ๐๐ฆ๐๐๐ ๐ญ๐ฎ๐ค๐ข๐ฐ๐ ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐๐ฌ๐ก๐ข๐ค๐๐ง๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐๐ฎ๐ซ๐๐ก๐..๐จ๐ง๐ ๐ญ๐ฎ ๐ฏ๐๐ง๐ฒ๐ ๐๐๐๐ฆ๐ ๐๐ง๐๐๐ง๐ ๐๐ฅ๐ข๐ ๐๐๐ซ๐ค ๐ง๐ ๐ฆ๐๐๐ก๐จ ๐ฒ๐ ๐ฎ๐ฉ๐๐ง๐๐จ ๐ค๐ฐ๐๐ฅ๐ข ๐ค๐ฐ๐๐ฅ๐ข. ๐๐๐ซ๐ค ๐๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ฃ๐๐ง๐ ๐ค๐๐ซ๐ข๐๐ฎ ๐ง๐ข๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐ฐ๐๐ณ๐ข,๐ฌ๐จ ๐ก๐๐ญ๐ฎ๐ง๐ ๐ญ๐ข๐ฆ๐ ๐ฒ๐๐๐๐ ๐ญ๐ฎ๐จ๐๐ง๐ ๐๐ฌ ๐ฌ๐จ๐จ๐ง ๐๐ฌ ๐ฉ๐จ๐ฌ๐ฌ๐ข๐๐ฅ๐.
๐๐๐ง ๐ง๐ ๐ฒ๐๐ฒ๐ ๐๐ฅ๐ข๐ค๐ฎ๐ ๐๐ค๐๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ ๐๐๐๐๐ค๐,๐ฆ๐๐จ๐ง๐ ๐ฎ๐ฅ๐ข๐๐ก๐๐ฉ๐ ๐ฎ๐ง๐๐ฅ๐ ๐๐๐ซ๐ค ๐ง๐ ๐ฒ๐๐ฒ๐ ๐ง๐ข ๐ฆ๐ญ๐ฎ ๐ฆ๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข? ๐๐๐๐ฒ ๐๐ค๐๐ฃ๐ข๐ญ๐๐ญ๐๐ ๐๐ค๐๐ฌ๐๐ฆ๐ ๐ง๐๐ฃ๐ฎ๐ ๐ง๐ข๐ฅ๐ข๐ค๐จ๐ฌ๐ ๐ฃ๐ฎ ๐ฉ๐๐ซ๐ญ๐ฒ ๐ฒ๐๐ค๐จ ๐ง๐ข๐ฅ๐ข๐ค๐ฎ๐ ๐ง๐ข๐ฆ๐๐ฉ๐๐ง๐ ๐ ๐ฏ๐ข๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ฌ๐๐ง๐ ๐๐ฅ๐๐๐ฎ ๐ง๐ข๐ค๐๐ฉ๐๐ญ๐ ๐ก๐ฎ๐ฒ๐จ ๐ฆ๐ฎ๐๐๐๐ ๐๐ฆ๐๐ค๐ฎ๐ฉ๐๐ง๐ ๐ข๐ ๐ฌ๐จ ๐ง๐ข๐ฅ๐ข๐ค๐๐ฌ๐ข๐ซ๐ข๐ค๐ ๐ญ๐ฎ...๐๐๐ง ๐๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐๐ฎ๐ญ ๐ฎ๐ง๐๐ฅ๐ ๐๐๐ซ๐ค ๐ง๐ข ๐ฆ๐ญ๐ฎ ๐ฆ๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ฌ๐๐ง๐ ๐๐ฎ๐ญ ๐๐๐๐ฒ ๐๐ค๐๐ฆ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ค๐ฎ๐ฆ๐๐ฎ๐ค๐ ๐ฆ๐ข๐ฆ๐ข ๐ง๐๐ข๐จ ๐๐๐๐๐ค๐จ,๐ฒ๐๐ฒ๐ ๐ฌ๐ข ๐๐๐๐๐ค๐จ ๐ฌ๐๐ฐ๐ ๐ค๐ข๐ฃ๐๐ง๐? ๐๐๐ง ๐๐ค๐๐ฌ๐๐ฆ๐ ๐ง๐๐ฃ๐ฎ๐ ๐๐ฎ๐ญ ๐ฒ๐๐ฒ๐ ๐ง๐ข ๐ฆ๐ญ๐ฎ ๐ฆ๐ณ๐ฎ๐ซ๐ข ๐ฌ๐๐ง๐. ๐๐๐๐ฒ ๐๐ค๐๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ก๐ฎ๐๐๐ข ๐ค๐ฎ๐ฉ๐๐ง๐๐ ๐ฆ๐ญ๐ฎ ๐ฌ๐ข ๐๐๐ฆ๐ข๐ฅ๐ฒ ๐ฆ๐๐ฆ๐๐๐ซ,๐ฒ๐๐๐๐ ๐ญ๐ฎ ๐ฎ๐ฉ๐๐ง๐๐ ๐ฆ๐ข๐ฆ๐ข,๐๐จ๐ฃ๐จ ๐ง๐ ๐ฆ๐๐ฆ๐๐ค๐จ ๐ฌ๐๐ฐ๐? ๐๐๐ง ๐๐ค๐๐ฌ๐๐ฆ๐ ๐ง๐ ๐๐๐๐ฎ ๐๐๐ฒ? ๐๐๐๐ฒ ๐๐ค๐๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ก๐๐ญ๐ ๐ก๐ฎ๐ฒ๐จ ๐ฌ๐ข ๐๐๐ฆ๐ข๐ฅ๐ข๐.
๐๐๐ซ๐ค ๐ฐ๐๐ค๐๐ญ๐ข ๐๐ฅ๐ข๐๐ข๐ค๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐๐๐ซ๐ฆ, ๐๐ฅ๐ข๐ค๐ฎ๐ญ๐๐ง๐ ๐ง๐ ๐๐ฆ๐๐ง๐ข, ๐๐ฆ๐๐ง๐ข ๐๐ค๐๐ฆ๐ฎ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ ๐ก๐๐ฒ๐,๐ค๐ฐ๐๐ง๐ข ๐ฎ๐ฌ๐จ ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ญ๐๐ง๐๐ข๐ค๐ฐ๐ ๐๐ฆ๐๐๐๐๐๐ซ๐ค ๐๐ค๐๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ค๐ ๐ง๐ข ๐ค๐๐ณ๐ข ๐ฎ๐ฆ๐๐ค๐ฎ๐ฃ๐ ๐ค๐ฎ๐๐๐ง๐ฒ๐ ๐๐๐ง๐ฒ๐ ๐ค๐๐ณ๐ข,๐ฌ๐๐ฐ๐ ๐ค๐ข๐ฃ๐๐ง๐,๐ง๐ ๐ก๐ฎ๐ฎ ๐ฆ๐๐ก๐๐ณ๐จ ๐ฐ๐ ๐ค๐ฎ๐ญ๐๐ฆ๐๐๐ ๐ญ๐๐ฆ๐๐๐ ๐ง๐ ๐๐จ๐ฃ๐จ ๐ฎ๐ง๐๐ฆ๐ฎ๐๐ฑ๐ฉ๐จ๐ฌ๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐ฌ๐ก๐ข๐๐ ๐ฎ๐๐๐ก๐. ๐๐ฆ๐๐ง๐ข ๐๐ค๐๐ฆ๐ฎ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐,๐ก๐ฎ๐ฒ๐ฎ ๐๐จ๐ฃ๐จ ๐ฎ๐ง๐๐ฉ๐ซ๐จ๐ญ๐๐๐ญ ๐ฌ๐๐ง๐ ๐ง๐ ๐ฌ๐ข ๐ฆ๐ญ๐จ๐ญ๐จ ๐ฐ๐๐ค๐จ ๐ค๐๐ฆ๐ ๐๐ง๐ ๐๐ค๐ฎ๐ ๐ฆ๐ญ๐จ๐ญ๐จ ๐ฐ๐๐ค๐จ ๐ฎ๐ง๐ ๐๐ฉ๐ซ๐จ๐ญ๐๐๐ญ ๐ฌ๐๐ง๐ ๐ก๐ข๐ฏ๐ฒ๐จ? ๐๐๐ซ๐ค ๐๐ค๐๐ฆ๐ฎ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ ๐ฐ๐ก๐๐ซ๐ ๐๐ซ๐ ๐ฒ๐จ๐ฎ๐ซ ๐ฉ๐๐ซ๐๐ง๐ญ๐ฌ? ๐๐ฆ๐๐ง๐ข ๐๐ค๐๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ง๐๐ฃ๐ฎ๐ ๐ญ๐ฎ ๐ฆ๐๐ฆ๐๐ง๐ ๐ฎ, ๐๐๐๐๐ง๐ ๐ฎ ๐ฌ๐ข๐ฃ๐ฎ๐ข ๐ค๐ฐ๐๐ง๐ฒ๐ ๐๐ค๐จ ๐๐๐ซ๐ค ๐๐ค๐๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐๐๐ฌ๐ข,๐ฆ๐ข๐ง๐ ๐ฒ๐จ๐ฎ๐ซ ๐๐ฎ๐ฌ๐ข๐ง๐๐ฌ๐ฌ ๐ค๐ข๐ฃ๐๐ง๐. ๐๐๐ซ๐ค ๐ก๐๐ง๐ ๐ก๐๐๐๐ซ๐ข ๐ก๐ฎ๐ฒ๐ฎ ๐ง๐๐ข๐จ ๐ฆ๐ญ๐จ๐ญ๐จ ๐ฐ๐๐ค๐.
๐๐จ๐ฃ๐จ ๐ฐ๐๐ฅ๐ข๐ค๐ฎ๐ฃ๐ ๐จ๐ฎ๐ญ ๐ง๐ ๐๐๐ฒ๐๐๐ง ๐ค๐ฎ๐จ๐ง๐ ๐๐ ๐ฆ๐๐ฆ๐๐จ ๐ฆ๐๐ข๐ฅ๐ข ๐ญ๐๐ญ๐ฎ ๐ก๐ข๐ฏ๐ข ๐ฃ๐ฎ ๐๐๐ฒ๐๐๐ง ๐๐ง๐๐ญ๐๐ค๐ ๐ฌ๐๐ง๐ ๐ค๐ฎ๐ฃ๐ฎ๐ ๐๐๐๐๐ค๐ ๐๐จ๐ฃ๐จ ๐๐ฆ๐๐๐ฆ๐ฎ๐ ๐๐ฃ๐ ๐ง๐ ๐ก๐ฎ๐ฎ ๐ฎ๐ก๐ฎ๐ฌ๐ข๐๐ง๐จ ๐ฐ๐๐ค๐.
๐๐๐ซ๐๐ฌ๐ ๐๐ฅ๐ข๐ญ๐๐ฆ๐๐๐ฅ๐๐ฐ๐ ๐ค๐๐ณ๐ข๐ง๐ข ๐ง๐ ๐๐๐ฅ๐จ๐ฆ๐ ๐๐ง๐๐ฆ๐ฎ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ ๐๐๐ฒ๐๐๐ง ๐๐ง๐๐ค๐๐ ๐ค๐ฎ๐ฌ๐ฎ๐ฆ๐๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐๐ค๐ข๐ฅ๐ข ๐ฌ๐๐ง๐. ๐๐๐ซ๐๐ฌ๐ ๐๐ค๐๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ก๐ข๐ฒ๐จ ๐ก๐๐ญ๐ ๐ข๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ๐ฉ๐ ๐ฌ๐ก๐ข๐๐,๐๐๐๐๐ค๐ ๐๐จ๐ฃ๐จ ๐ก๐๐ฃ๐๐ฉ๐ฉ๐ซ๐จ๐ฏ๐ ๐ฎ๐ก๐ฎ๐ฌ๐ข๐๐ง๐จ ๐ฐ๐ ๐๐๐ฒ๐๐๐ง ๐ง๐ ๐๐จ๐ฃ๐จ ๐ง๐ ๐ง๐๐ข๐จ ๐ฆ๐๐๐ง๐ ๐๐๐ฒ๐๐๐ง ๐๐ง๐๐ค๐ฎ๐ ๐ง๐ ๐ฌ๐ญ๐ซ๐๐ฌ๐ฌ ๐ก๐ข๐ฏ๐ข. ๐๐๐ฅ๐จ๐ฆ๐ ๐๐ง๐๐ฃ๐ฎ๐ ๐๐จ๐ฃ๐จ ๐๐ง๐๐ฉ๐๐ง๐๐ ๐๐๐ฒ๐๐๐ง ๐ง๐ ๐๐ค๐๐ญ๐๐ค๐ ๐ฌ๐๐ง๐ ๐ก๐๐ญ๐ ๐ข๐ค๐ข๐ฐ๐๐ณ๐๐ค๐๐ง๐ ๐๐๐ง๐๐ ๐ค๐ฎ๐จ๐ง๐ ๐๐ ๐ง๐ ๐๐จ๐ฃ๐จ ๐ค๐ฎ๐ก๐ฎ๐ฌ๐ฎ ๐ก๐ฎ๐ฎ ๐ฎ๐ก๐ฎ๐ฌ๐ข๐๐ง๐จ ๐ฐ๐๐จ.
๐๐๐๐ ๐
๐๐๐ฒ๐๐๐ง ๐ฐ๐๐ค๐ข๐จ๐ง๐ ๐๐,๐๐ฅ๐ข๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐๐๐ฒ๐๐๐ง ๐๐ง๐๐ฃ๐ฎ๐ ๐๐๐๐๐ค๐ ๐ฌ๐๐ง๐ ๐ง๐ ๐๐ฌ๐ข๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐ฐ๐๐ฌ๐ข๐ฐ๐๐ฌ๐ข ๐ง๐ ๐๐จ๐ฃ๐จ ๐๐ค๐๐ก๐๐ค๐ข๐ค๐ข๐ฌ๐ก๐ข๐ ๐๐๐ฒ๐๐๐ง ๐ฌ๐ก๐ ๐ฐ๐จ๐ง'๐ญ ๐ ๐ข๐ฏ๐ ๐ฎ๐ฉ ๐จ๐ง ๐ญ๐ก๐ข๐ฌ ๐ซ๐๐ฅ๐๐ญ๐ข๐จ๐ง๐ฌ๐ก๐ข๐ฉ ๐๐ฎ๐ญ ๐๐๐ฒ๐๐๐ง ๐๐ง๐๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ฒ๐๐๐๐ ๐ง๐ข๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐ฐ๐๐ฌ๐ข๐ฐ๐๐ฌ๐ข ๐ฌ๐๐ง๐ ๐ฌ๐๐ง๐ ๐ข๐ฅ๐ ๐ฉ๐ข๐๐ก๐ ๐ฒ๐๐ค๐จ ๐ง๐ ๐๐๐ง ๐ฆ๐ค๐ข๐ก๐ฎ๐ ..๐๐จ๐ฃ๐จ ๐๐ค๐๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐๐จ๐ฆ๐ ๐จ๐ง,๐ญ๐ก๐๐ญ๐ฌ ๐ฉ๐๐ฌ๐ญ.
๐๐ฎ๐ง๐๐ ๐ฌ๐ข ๐ฉ๐ฎ๐ง๐๐, ๐๐๐๐ฒ ๐๐ค๐๐ฆ๐๐๐ฅ๐ฅ ๐๐จ๐ฃ๐จ ๐๐ค๐๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ฐ๐๐ฌ๐ก๐๐ค๐ฎ๐ฅ๐ ๐ง๐ ๐๐๐ง ๐ง๐ ๐ก๐๐ญ๐ ๐๐ค๐๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐๐จ๐ฃ๐จ ๐ค๐๐ฆ๐ ๐๐ง๐๐๐ณ๐ ๐ค๐ฎ๐ฃ๐ ๐ฐ๐๐ฌ๐ฉ๐๐ง๐ ๐ญ๐ก๐ ๐ง๐ข๐ ๐ก๐ญ ๐ก๐ฎ๐ค๐ฎ ๐ค๐ฐ๐ ๐ง๐ฒ๐ฎ๐ฆ๐๐ ๐ฒ๐๐จ ๐ฆ๐ฉ๐ฒ๐. ๐๐จ๐ฃ๐จ ๐๐ค๐๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ข๐ญ๐ฌ ๐จ๐ค,๐๐๐ก๐ ๐ง๐ข๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ฆ๐ฎ๐ฆ ๐๐ฎ๐ญ ๐๐๐๐ฒ ๐๐ค๐๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ก๐๐ญ๐ ๐ฎ๐ฌ๐ข๐ฃ๐๐ฅ๐ข,๐ง๐ข๐ญ๐๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ฆ๐ข๐ฆ๐ข ๐ฆ๐ฐ๐๐ง๐ฒ๐๐ฐ๐.
๐๐ฎ๐ฌ๐ญ ๐ข๐ฆ๐๐ ๐ข๐ง๐,๐ก๐ข๐ฏ๐ฒ๐จ ๐ง๐๐ข๐จ ๐๐จ๐ฃ๐จ ๐๐ฅ๐ข๐๐ฆ๐ค๐ ๐๐ค๐๐๐ง๐๐,๐๐ค๐๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐๐๐ฒ๐๐๐ง ๐ข๐ญ๐๐ฉ๐ข๐๐ข ๐ฐ๐๐๐ง๐๐ ๐ง๐ฒ๐ฎ๐ฆ๐๐๐ง๐ข ๐๐ฉ๐๐๐ค ๐ฏ๐ข๐ญ๐ฎ ๐ณ๐๐ค๐ ๐๐ง๐๐๐ง๐๐ ๐ค๐ฎ๐ฅ๐๐ฅ๐ ๐ค๐ฐ๐ ๐ง๐ฒ๐ฎ๐ฆ๐๐ ๐ฒ๐๐จ ๐ฆ๐ฉ๐ฒ๐.
๐๐ฆ๐๐ง๐ข ๐ง๐ ๐๐๐ซ๐ค ๐ฐ๐๐ค๐จ ๐ง๐ ๐ฆ๐๐ณ๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ฆ๐ณ๐จ ๐ก๐ฎ๐ค๐จ ๐ค๐ฎ๐ก๐ฎ๐ฌ๐ฎ ๐ค๐๐ณ๐ข ๐๐ง๐ ๐๐ญ ๐ฌ๐จ๐ฆ๐๐ฉ๐จ๐ข๐ง๐ญ,๐๐๐ซ๐ค ๐๐ง๐๐๐๐๐ฅ ๐ฏ๐ข๐๐ ๐ฒ๐ ๐๐ฆ๐๐ง๐ข ๐๐ก๐ข๐ง๐ข ๐ค๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐๐๐ซ๐ค ๐๐ค๐๐ฆ๐ฎ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐,๐ฌ๐จ ๐ฆ๐๐ฆ๐๐ค๐จ ๐๐ค๐จ ๐ฐ๐๐ฉ๐ข? ๐๐ฆ๐๐ง๐ข ๐ฃ๐ฎ ๐๐๐ซ๐ค ๐๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐๐ฌ๐ข๐ข๐ง๐ ๐ข๐ฅ๐ข๐ ๐ฅ๐ข๐๐ ๐ฒ๐๐ค๐ ๐ค๐ข๐ฃ๐จ๐ค๐๐ฌ ๐๐ค๐๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐๐๐ก ๐ฐ๐๐ ๐ฆ๐๐จ๐ง๐ ๐ฎ๐ง๐๐ข๐ง๐ ๐ข๐ฅ๐ข๐ ๐ฆ๐๐ข๐ฌ๐ก๐ ๐ฒ๐๐ง๐ ๐ฎ๐๐๐๐ญ๐ก๐๐ญ ๐ฐ๐๐ฌ ๐จ๐ง ๐ ๐ฃ๐จ๐ค๐๐ฌ ๐ฉ๐จ๐ข๐ง๐ญ ๐จ๐ ๐ฏ๐ข๐๐ฐ ๐๐ฎ๐ญ ๐๐ฆ๐๐ง๐ข ๐๐ค๐๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐๐๐ซ๐ค,๐ฆ๐๐๐ก๐ ๐ง๐ข๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฎ๐๐๐ก๐ ๐ฆ๐๐ฃ๐ฎ๐ฎ ๐๐ค๐จ ๐ก๐ฎ๐ค๐จ...๐๐๐ซ๐ค ๐๐ค๐๐ฆ๐ฎ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ ๐ง๐ ๐๐๐๐๐ค๐จ? ๐๐ฆ๐๐ง๐ข ๐๐ค๐๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ฌ๐ข๐ฃ๐๐ข ๐จ๐ง๐ ๐ฆ๐ณ๐๐ ๐ฃ๐ฎ ๐๐ฅ๐ข๐๐๐ก๐ ๐ฆ๐๐ฆ๐๐ง๐ ๐ฎ ๐๐ค๐ข๐ฐ๐ ๐๐๐ฅ๐ฅ...๐๐ข๐ข ๐ข๐ค๐๐ฆ๐ฌ๐ก๐ญ๐ฎ๐ ๐๐๐ซ๐ค ๐ค๐ข๐๐ฌ๐ข,๐ฃ๐ฎ ๐ก๐๐ญ๐ ๐ฉ๐ข๐ ๐ฒ๐๐ฒ๐ ๐ฐ๐๐ฅ๐ข๐๐๐ก๐๐ง๐ ๐ง๐ ๐๐๐๐ก๐๐๐ฅ ๐๐ค๐ข๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐๐๐ฅ๐ฅ.
๐๐ฎ๐ง๐ ๐ค๐๐ณ๐ข ๐๐๐ซ๐ค ๐๐ฅ๐ข๐ค๐ฎ๐ ๐๐ฆ๐๐ฉ๐๐ ๐๐๐ฒ๐๐๐ง ๐ฒ๐ ๐ค๐ฎ๐ญ๐๐๐ฎ๐ญ๐ ๐ง๐ฎ๐ฆ๐๐๐ซ ๐ฉ๐ฅ๐๐ญ๐ ๐๐ฎ๐ฅ๐๐ง๐ข ๐ง ๐ฐ๐๐ค๐๐ญ๐ข ๐ก๐ฎ๐จ ๐ก๐ฎ๐จ,๐๐๐ฒ๐๐๐ง ๐๐ฌ๐ก๐๐ฉ๐๐ญ๐ ๐ก๐๐๐ข ๐๐ฅ๐ข๐ฆ๐๐๐ฅ๐ฅ ๐๐๐ซ๐ค ๐๐ค๐๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐๐ฌ๐ก๐๐ฉ๐๐ญ๐ ๐ฌ๐จ๐ฆ๐ ๐ข๐ง๐๐จ๐ซ๐ฆ๐๐ญ๐ข๐จ๐ง. ๐๐ฅ๐ข๐๐ข๐๐ข ๐๐๐ซ๐ค ๐๐ค๐๐๐๐ง๐๐๐ฅ ๐ค๐๐ณ๐ข ๐ฒ๐๐ค๐ ๐ง๐ ๐๐ฆ๐๐ง๐ข ๐ง๐ ๐ก๐ฎ๐ฒ๐จ๐จ ๐๐ค๐๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐๐ฆ๐๐ง๐ข ๐ฐ๐๐ค๐ฎ๐ญ๐๐ง๐ ๐ค๐๐ฌ๐ก๐จ. ๐๐ข๐ฆ๐จ๐ฒ๐จ ๐ฆ๐จ๐ฒ๐จ ๐๐ฆ๐๐ง๐ข ๐๐ค๐๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ญ๐ฎ ๐๐๐ซ๐ค, "๐๐จ๐จ๐๐๐ฒ๐ ๐ฆ๐ฒ ๐๐๐" ๐ฃ๐ฎ ๐๐ฆ๐๐ง๐ข ๐๐ญ ๐ฌ๐จ๐ฆ๐๐ฉ๐จ๐ข๐ง๐ญ ๐๐ฌ๐ก๐๐จ๐ง๐ ๐๐๐ซ๐ค ๐ฌ๐ข ๐ฆ๐ฌ๐๐ ๐ฆ๐๐๐ฒ๐.
๐๐! ๐๐ฎ๐๐ข๐ค๐ ๐ก๐ฎ๐ค๐ฎ ๐ค๐ฐ๐ ๐๐๐ง ๐ง๐ ๐๐ก๐๐ซ๐จ๐ง ๐ฐ๐๐ฌ๐ก๐๐ญ๐จ๐ค๐ ๐ฌ๐ก๐จ๐ฉ๐ฉ๐ข๐ง๐ ๐ง๐ ๐ฐ๐๐ค๐จ ๐ก๐๐ฉ๐ฉ๐ฒ ๐ฌ๐๐ง๐ ๐ก๐๐๐ข ๐๐๐ฅ ๐๐ค๐๐๐๐ฅ๐ฅ ๐๐จ๐ฃ๐จ ๐๐ค๐๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ญ๐ฎ๐ฌ๐ก๐๐ง๐ฎ๐ง๐ฎ๐ ๐ค๐ข๐ฅ๐ ๐ค๐ข๐ญ๐ฎ ๐ง๐ ๐ญ๐ฎ๐ง๐๐ญ๐๐ค๐ ๐ค๐ฎ๐ฅ๐๐ฎ๐๐ก ๐๐ฎ๐ฌ๐ข๐ง๐๐ฌ๐ฌ ๐ฒ๐ ๐๐๐ ๐ฎ๐ง๐๐๐ณ๐ ๐ง๐ข๐ฌ๐๐ข๐๐ข๐ ๐ง๐ฎ๐ฆ๐๐๐ซ ๐ฒ๐ ๐๐ฆ๐๐ง๐ข? ๐๐จ๐ฃ๐จ ๐๐ค๐๐ฆ๐ฎ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ ๐ฆ๐๐จ๐ง๐? ๐๐๐ฅ ๐๐ค๐๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ง๐ข๐ฉ๐๐ ๐ญ๐ฎ,๐ค๐ฐ๐๐ง๐ข ๐ค๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐๐๐ฒ๐ ๐ฎ๐ค๐ข๐ง๐ข๐ฉ๐? ๐๐จ๐ฃ๐จ ๐๐ค๐๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ฅ๐๐ณ๐ข๐ฆ๐ ๐ง๐ข๐ฆ๐ฎ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ ๐ค๐ฐ๐๐ง๐ณ๐...๐๐จ๐ฃ๐จ ๐๐ค๐๐๐๐ฅ๐ฅ ๐๐ฆ๐๐ง๐ข ๐๐ค๐๐ฆ๐ฎ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ ๐ค๐๐ฆ๐ ๐๐ง๐๐๐ณ๐ ๐ฉ๐๐๐ง๐ ๐ง๐ฎ๐ฆ๐๐๐ซ? ๐๐ฆ๐๐ง๐ข ๐๐ค๐๐ฆ๐ฎ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ ๐ค๐ฐ๐๐ง๐ข ๐ก๐ฎ๐ญ๐๐ค๐ข ๐ค๐ฎ๐ง๐ข๐ฌ๐ก๐๐ซ๐ ๐ง๐ ๐ฆ๐ญ๐ฎ๐๐๐๐๐ฅ๐ฅ ๐ข๐ง ๐๐ฅ๐ฅ ๐๐ฆ๐๐ง๐ข ๐๐ฅ๐ข๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ฆ๐ฉ๐๐ ๐ญ๐ฎ ๐ก๐๐ข๐ง๐ ๐ฌ๐ก๐ข๐๐.
๐๐๐๐ฅ๐ ๐๐จ๐ฃ๐จ ๐ก๐๐ฃ๐๐ค๐๐ญ๐ ๐ฌ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐๐ฆ๐๐ง๐ข ๐๐ค๐๐ฆ๐ฎ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ ๐ฎ๐ง๐๐จ๐ง๐๐ฃ๐ ๐ญ๐ฐ๐๐ง๐๐ ๐๐จ๐ซ ๐ ๐๐จ๐๐๐๐ ๐ฅ๐๐จ ๐ ๐ฉ๐ซ๐จ๐ฆ๐ข๐ฌ๐ ๐ฌ๐ข๐ญ๐๐ค๐ฎ๐ค๐จ๐ฌ๐๐ ๐ญ๐๐ง๐? ๐๐๐ข๐จ ๐ฎ๐ฃ๐ฎ๐ ๐๐ฎ๐ฌ๐ญ ๐ง๐ข ๐๐จ๐ง๐ฌ๐ญ๐๐ง๐ญ,๐ฃ๐ฎ๐ฌ๐ญ ๐ข๐ฆ๐๐ ๐ข๐ง๐ ๐๐จ๐ฃ๐จ ๐๐ฅ๐ข๐๐๐ง๐๐๐ฅ ๐ค๐ฎ๐ฌ๐ฉ๐๐ง๐ ๐ง๐ ๐๐๐ฒ๐๐๐ง ๐ค๐ฎ๐ฎ ๐๐ฆ๐๐ข๐ญ๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐๐๐๐๐ค๐ ๐๐ฎ๐ญ ๐๐ค๐๐ค๐ฎ๐๐๐ฅ๐ข ๐ค๐ฎ๐๐ง๐๐ ๐ง๐ ๐๐ฆ๐๐ง๐ข ๐๐จ๐ซ ๐ ๐๐จ๐๐๐๐,๐ฐ๐จ๐จ๐จ๐จ๐ฐ!๐๐๐๐
๐๐๐ค๐ข๐ฅ๐ข ๐ฐ๐ ๐๐๐๐ฒ ๐๐ฅ๐ข๐ฆ๐๐๐ฅ๐ฅ ๐๐ค๐๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ก๐ข๐ฒ๐จ ๐ค๐๐ฌ๐ข ๐ฒ๐๐ค๐จ ๐ข๐ฌ๐ก๐๐ฌ๐ข๐ค๐ข๐ณ๐ฐ๐ ๐ง๐ ๐ฌ๐๐ฌ๐ ๐ค๐ฎ๐ง๐ ๐๐๐ ๐ง๐๐ฐ๐ฌ,๐๐๐๐ฒ ๐๐ค๐๐ฆ๐ฎ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ ๐๐๐ ๐ง๐๐ฐ๐ฌ ๐ ๐๐ง๐ข? ๐๐๐ค๐ข๐ฅ๐ข ๐๐ค๐๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐ฃ๐ฎ๐๐ ๐ ๐๐ฆ๐๐ฆ๐๐ค๐ ๐ซ๐ฎ๐ฅ๐ฅ๐ข๐ง๐ ๐ง๐ ๐๐ฆ๐๐ฌ๐๐ฆ๐ ๐ฐ๐๐ฐ๐ ๐ค๐๐ ๐๐๐๐ฒ ๐๐๐ญ๐๐ฌ๐ข ๐ฅ๐๐ณ๐ข๐ฆ๐ ๐ฎ๐ฌ๐๐ซ๐ฏ๐ ๐ฌ๐๐ง๐ญ๐๐ง๐ฌ๐ ๐๐๐๐ฒ ๐๐ค๐๐ฆ๐ฎ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ ๐ค๐ฐ๐๐ง๐ข ๐ก๐ฎ๐ฐ๐๐ณ๐ข ๐ฆ๐๐ค๐ ๐๐ฉ๐ฉ๐๐๐ฅ? ๐๐๐ค๐ข๐ฅ๐ข ๐๐ค๐๐ฆ๐ฐ๐๐ฆ๐๐ข๐ ๐๐ฉ๐ฉ๐๐๐ฅ ๐ข๐ญ๐๐๐๐ง๐ฒ๐ข๐ค๐ ๐๐ฎ๐ญ ๐ฎ๐ค๐ข๐ฐ๐ ๐ง๐๐๐ง๐ข ๐ง๐ ๐ก๐๐ญ๐ ๐ฐ๐๐ง๐ฒ๐ ๐ฐ๐๐ง๐๐๐๐ ๐ค๐ฎ๐ค๐ฎ๐ฐ๐๐ค๐ ๐ง๐๐๐ง๐ข ๐ฐ๐๐ง๐๐ค๐ฎ๐ฃ๐ ๐ค๐ฐ๐๐ค๐จ ๐๐ง๐ฒ๐ญ๐ข๐ฆ๐ ๐๐ซ๐จ๐ฆ ๐ง๐จ๐ฐ. ๐๐๐๐ฒ ๐๐ค๐๐ฆ๐ฎ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐ ๐ง๐๐ข๐จ ๐ง๐ข๐ฐ๐ข๐ง ๐ก๐ข๐ข ๐ค๐๐ฌ๐ข ๐ฒ๐๐๐๐ ๐ง๐ข๐๐๐ง๐ฒ๐ ๐ง๐ข๐ง๐ข ๐ค๐๐๐ข๐ฌ๐ ๐ค๐๐๐ข๐ฌ๐? ๐๐๐ค๐ข๐ฅ๐ข ๐๐ค๐๐ฆ๐ฐ๐ฆ๐๐๐ข๐ ๐ง๐ข ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ฉ๐ ๐๐ฅ๐ฅ 50 ๐ฆ๐ข๐ฅ๐ฅ๐ข๐จ๐ง ๐ข๐ง ๐๐ฎ๐ฅ๐ฅ ๐ง๐๐ข๐จ ๐ฆ๐ฐ๐๐ง๐ฒ๐ ๐ค๐๐ฌ๐ข ๐๐๐ซ๐จ๐ฉ...๐๐๐๐ฒ,50๐ฆ๐ข๐ฅ๐ฅ๐ข๐จ๐ง ๐๐ญ๐จ๐ ๐ฐ๐๐ฉ๐ข ๐ง๐ 13๐ฆ๐ข๐ฅ๐ฅ๐ข๐จ๐ง ๐ณ๐๐ง๐ฒ๐ ๐๐ฆ๐๐ค๐ฎ๐ ๐ง๐๐ณ๐ข ๐๐ฌ๐ก๐๐๐ฎ๐ฒ ๐ง๐ฒ๐ฎ๐ฆ๐๐? ๐๐๐๐ฒ, ๐๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ ๐ฐ๐ ๐๐๐ซ๐ค,๐ค๐ฐ๐ ๐ค๐ฎ๐ญ๐ฎ๐ฆ๐๐ง๐ ๐๐ญ๐๐ง๐๐ข๐ค๐ฐ๐,๐๐ง๐๐ฆ๐ฉ๐ข๐ ๐๐ง๐ข๐๐๐๐๐
๐ฐ๐๐ก!
Follow Vinny Presenter ...
NEEMA ON CITIZEN TV 22 ND APRIL 2025.
๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐๐๐๐๐
Team Neema, usisahau kupiga like kabla hujatoka hapa!
๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐
Eddy anaamini kuwa Neema ameolewa na mwanaume mwenye mke, ila Jojo alimwambia baba yake, "Nitakueleza kila kitu, si kama unavyodhani." Eddy akiwa na hofu kuhusu matukio ya hivi majuzi ya uvamizi, alitaka kumuona Ian, lakini Mark akamkataa kwa kusema, "Kwangu huingii." Hapo ndipo mabishano yakaibuka baina ya Eddy na Mark, hadi Babu Jay alipokerwa na tabia ya Eddy na kumrushia ngumi moja kali mdomoni kwa maneno yake machafu. Balaa! Baba mkwe anampiga mkwe wa zamani.
Jojo alijaribu kumweleza babake kuwa Sharon huwa anasumbuliwa na kusahau, na huwa anaishi kwenye dunia yake – si unaona hata sasa anadhani eti ulituma watu wakamshughulikie Mark? Ingawa Eddy ndiye aliyetuma watu kweli, hawezi kukiri hilo waziwazi.
Mark akamjia Tom na kumuuliza, "Sikusema tusitumie bunduki? Vipi kama ungemuua yule mtu?" Kisha akaitisha bunduki hiyo na kusema haitakaa hapo.
Jojo akamwambia babake kuwa yuko shwari na ameondoka.
Lakini kumbe Mark alichapwa vibaya na wale wahuni – maskini! Na hajui kuwa aliyewatuma ni Eddy.
Amani alijitahidi kwa uchovu hadi akaweza kufika kwake na kujitibu mwenyewe – kwa sasa anajisikia nafuu kiasi. Akampigia Eddy simu kumjulia hali, lakini Eddy akambadilishia mada na kumuuliza, "Huyu Jayden, boyfriend wa Jojo, unamfahamu?" Amani akamjibu, "Namjua, mbona?" Eddy akamwambia Jayden amemlaghai Jojo hadi sasa anazungumzia ndoa naye. Akamtaka Amani azungumze na Jojo na kumshawishi aachane na huyo kijana – lakini asiambie Jojo kuwa yeye (Eddy) ndiye aliyemtuma. Anataka Amani amrudishe Jojo kwake, na sio kwa Jayden.
Wacha sasa! Ona Neema anavyomwambia Mark kwa upole, "My love, hata hao majambazi wakija namna gani, bado nakupenda sana, siwezi kuishi bila wewe." Kisha akauliza, "Kuna mtu mmeshakuwa na ugomvi naye hadi akatuma wakushughulikie? Angalia uso wako babe, unakaa kama ugali usioiva!" Mark akamwambia, "Zii, unajua kila kitu changu, sina bifu na yeyote." Neema akasisitiza, "Hata wakikushughulikia vipi, bado ni mimi na wewe mpaka mwisho."
๐๐๐๐๐๐ ๐๐ ๐
Kwa upande wa Jayden, baba yake alifika na kumuuliza, "Baba yake Jojo alikataa uhusiano wenu ama vipi?" Jayden akamjibu kuwa kweli, alisema hawezi kuruhusu watoto wake waishi kwenye mazingira kama yale na alikataa kabisa yeye na Jojo waendelee na masomo pamoja. Salome alikuwa nje akisikiliza yote.
Barasa alimhakikishia Jayden kuwa Jojo anampenda sana.
Karen akiwa kwenye shughuli zake, alipokea simu kutoka kwa Eddy, akadhani hatimaye mwanaume wake amerudi. Kumbe! Eddy akamwuliza, "Wewe mwanamke, ulijifanya Neema ukaandika ile barua?" Karen akashangaa na kujiuliza, "Hata handwriting ya Neema siijui! Nilidhani unanitafuta tuwe tena pamoja, kumbe ni ujinga tu!"
Mark alipofika nyumbani, waligundua hakuna chochote kimeibiwa, wakabaki na maswali – nani huyo anayevamia nyumba bila kuiba kitu? Ian akasema, "Alifanana na Amani." Wah! Japokuwa ni mtoto mdogo, hiyo kauli ilizua maswali mengi.
Eddy akapiga simu akasema anakuja kuwaona watoto.
Dancan naye akaingia ofisini tena na kuambiwa kuwa mkopo wake uko tayari. Aliambiwa, "Wewe sasa ndio boss," gari ipo, mafuta yapo na funguo ziko tayari. Aliona dili limekaa safi. Akaachiwa hata ofisi, funguo akapewa, na wale watu wawili wakatoka. Lakini hakuna hata mahali waliandikiana. Jamani, kosa kubwa!
Dana alifurahi sana na akampigia Sharon simu, "Darling! Guess what? Kila kitu kimekubali, kuanzia sasa wewe ni mke wa tajiri!" Dancan hata akamuita Sharon amwone pale alipohamia kama boss.
Eddy alipofika, alikuwa na zawadi kwa Ian. Lakini Ian alikuwa baridi sana kwake hadi Eddy akamwuliza Jojo, "Mbona Ian leo hayuko friendly kama kawaida?" Jojo akamwambia, "Ni kwa sababu jana ulimpigia kelele uncle Mark."
Kuna jambo Mark alihitaji msaada wa polisi, na akampigia Jayden kumpa plate number ya gari – amsaidie kujua ni ya nani na mtu huyo anaishi wapi.
Sharon walipofika ofisini walifurika na furaha – sasa wanajua baba yao ameshaomoka, na hivyo nao wameomoka rasmi. Furaha ilitawala!
Wakati Neema alipomkabidhi Ian kwa baba yake ili waende kuburudika, alimwangalia Eddy machoni akamwuliza, "Niambie ukweli, si wewe uliyehusika na ule uvamizi?" Eddy akageuza macho, Neema akamwambia, "Hapana, niangalie usoni nikikuuliza." Eddy akajibu kwa kizungu kingi, lakini Neema tayari alikuwa na mashaka.
Nimalizie kwa kuwakumbusha – huduma za online bado zinaendelea: SHA, KRA, CV, PP n.k. WhatsApp: 0792181715
CITIZEN TV NEEMA 21 APRIL 2025 WRITTEN UPDATE.
๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐ ๐
Shere bado inabamba kubamba,Dancan ameamua kuspoil majirani kwa chakula kwa sherehe ya ati Dan amenunua gari,lakini maskini wa Mungu,huku nyumbani kwa Mark,there is an intruder,aah! Makosa.
Huku nyumbani,ni Cate mjamzito,Ian mwenye hafeel poa,na Tom, na sasa kuna gaidi ameingia ndani,woi...
Neema wakiwa kwa sherehe,alianza tu kufeel something is weird kiasi,hadi akaambia Mark babe,we better go home,its getting late. Mark akamwambia acha niende basement,nichukue gari nikuje hivi twende, so Mark akatoka akiwa peke yake akaenda basement kuchukua gari lale ndio akuje amchukua Neema waende,makosa ya pili.
On other side, Eddy amekuja na Jojo na Jayden kwake akiambia Jayden sasa huku ndio atakua anakaa na akina Jojo. Jojo alikua jikoni akapika kachai akaletea babake but Eddy hajazoea kuona Jojo jikoni hadi akamuuliza my daughter,kwani unajua kupika chai,last nikiwa na nyinyi kitu ulikua unjua kupika pekee ni mdomo na kelele..Jojo akamwambia yeah Jayden alinifunza..Eddy hapendi kuona Jojo akisifu Jayden,ju hampendi Jayden just because they are from poor,very poor backgroud.
Mark na yeye,kufika tu kwa basement achukue gari,kumbe apart from gaidi mwenye amekuja kwake nyumbani,kuna magaidi wengine walikua wanamngoja huku kwenye wanafanya sherehe.
Gaidi wa nyumbani ashafika ndani,na anatembea pole pole na kuna vitu anatafuta,alikua kwa drawer akapata kuna picha ya Mark an Neema yenye alichora,akaona si hii akaeka kando,akaangalia ingine akapata ya Neema alikua amechorwa akaona si hii pia akaeka kando,kwani huyu na yeye anatafuta nini..ahaaa Chenye anatafuta,alikipata na niwaambie tu ukweli mapema mapema,gaidi...kwanza akiendelea kutafuta,akaangusha glass,makosa,sasa Kate akasikia.
Sikiza, gaidi mwenye ako kwa Mark kwa nyumba si gaidi wa Eddy,huyu ni Amani ama Joseph,ukipenda,sasa makosa ni ameangusha glass na Kate akasikia akamuamsha Tom na Tom kuna gun anakuanga nayo,akajua baaaaaasi,kama kuan wakati yafaa atumie hii gun yake ni wakati huu sasa.
Tom aliamka pole pole kufika akapata ndio Amani anaenda akamwamabia mzee,ni usimame hapo ama nikutoe kichwa na risasi. Amani kuona bunduki,akajua wueh,acha tu atii amri lakini cheki ujinga wa Tom, badala ya kutishia gaidi akiwa mbali alimsongea karibu na kufumba na kufumbua macho, Amani aligeuka,akashika gun ya Tom wakanza kuvurukana na kwa ile harakati,maskini wa Mungu,risasi ilitoka kwa gun,ikampata mbaya mbovu...ilimpata nani? Twende part 2
๐๐๐๐ ๐
Mark na yeye kufika kwa parking,alishindwa,hawa ni nani wanamfuata nyuma ikabidi asimame akauliza oya,mnataka nini? Jamaa wakamwambia tunataka kila kitu chenye uko nayo. Huh,Mark aliwaambia hiyo sidhani kama itawezekana lakini walimwambia si ati tunakuomba tunakuitisha. Kufumba na kufumbua macho,Mark alikua ametandikwa vita zingine safi,mbaya makosa. Wueh.
Huku kwake nyumbani nakwo, Kate ashaamka akapata ni Tom pekee yuko hapo chini,Amani ashaenda,kitambo sana na risasi yenye ilipigwa,ilimpata Amani, makosa sana. Kuna damu pale na hiyo damu ni ya Amani.
Tom aliambia Kate yeye ako sawa na damu ni ya yule mwizi ,na ni kweli,Amani kufika nje,ndio anaanza kufeel risasi sasa,wueh! Ni kubaya.
Upande wa pili Mark ashapigwa yuko hali mbaya,na upande huu mtoto wake ambaye ni Amani ashapigwa risasi.
Kumbe Ian, wakati alisikia alichungulia kwa dirisha,akaona yule mwizi,though hakuona sura,but urefu ni wa Jayden but sura ni black,so aliambia akina Kate,huyo mwizi anakaa Jayden but yeye ngozi ni black so si ya Jayden,na kuna tu mtu mmoja mwenye anatoshana na Jayden mwenye ni blacky na huyo mtu ni Nandwa,aah sorry si mimi,huyo mtu ni Amani.
Neema amengoja Mark alete gari anashindwa wait,kwani parking ilihama ama,ikabidi akuje kuona kuna nini Mark hakuji,kufika akapata Mark bado anatandikwa,mbaya mbovu. Wale magaidi kuona Neema,wakahepa but Mark ametandikwa vibaya sana. Walijifanya magaidi ndio Mark asishuku wametumwa.
Huku kwa Eddy,anajisifu sana akiambia Jayde,yeye hufanya vitu kwa utaratibu ju hapendi kufanya vitu cheap cheap. Jayden akakaa akaona hapa hatakaa na fala tu,akaambia Jojo yeye anataka kuenda home its getting late. Wakiwa hapo,Eddy akapigiwa simu akaona ni gaidi wake akatoka kiasi kushika simu.
Eddy aliambiwa washamaliza kazi na wamedeal na yeye venye inafaa.
Mark walikuja wakashtaki police na wakati karao aliuliza Mark kama ako na any enemy maybe,but Mark anajua hana adui akamwambia zii,sina adui hata kidogo lakini Sharon alisema zii,akaambia police,huyu Mark adui wake ni mmoja tu,Eddy bwana wa Neema,na jana kwa party walipigana vibaya sana. Mark hakutaka kusema hii but Sharon akaisema na ikawa recorded.
Sharon alishika msimamo na hata Mark akisema issue yake na Eddy ilikua tu small na wakamaliza,Sharon anasema zii,lazina huyo ni Eddy hadi Dancan akauliza Sharon,mbona unatetea sana Mark๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃDan hataki kuona bibi yake akitetea Mark.
Wakati huo huo,Mark akapigiwa simu na Kate akamwambia huku nyumbani something has happened. Mark wakatoka teke kuenda nyumbani.
Jayden pia alifikishwa nyumbani na akaambia Jojo wakutane kesho lakini Jayden akishuka,Eddy alimuangalia na macho zingine za wewe kijana nikupate na msichana wangu tena utaona moto but after Jayden ameenda,Jojo kuuliza babake kuhusu Jayden na venye anamuona? Eddy alimwambia Jayden si mbaya viiile but I guess you need someone else mtu kama Amani hivi anakaa poa kuliko huyu Jayden๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Amani na yeye maskini wa Mungu,lile risasi kwa mkono lilimzidi,damu amevuja mingi sana na yuko kwa barabara.
Eddy na Jojo wamefika nyumbani na wakiwa wamesimama hapo,ndio wakati Neema na Mark wanafika wakiwa wameshikana mikono...Eddy akaona Mark ameumia akamuuliza kwani umepata ajali? Mark akamwambia its nothing.
Sharon pia alikua hapo na akaanza story za mtu kuvamia huku, Eddy kusikia akauliza Neema,yani umeenda out na boyfriend ukaacha mtoto? Sharon akamwambia relax, alimuacha na Kate..Eddy akauliza Kate na yeye ni nani na ju Sharon huwa anadhani Kate ni wife wa Mark, akaambia Eddy haya,kwani humjui,huyo ni wife wa Mark๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Eddy alijam akauliza Neema,kwani umeoleka kwa married man? Neema alimwambia I owe you no explanation. Sharon kwa ile harakati,akaropoka akaambia Eddy kwanza wewe tunajua umeenda ukakomboa magaidi waumize Mark,usidhani hatujui๐คฃ๐คฃ๐คฃJojo kujaribu kuweka mdomo mbele,karibu Sharon akamalize.
Jayden tukimalizia malizia,ashafika nyumbani na anakaa ako soo down sana,hadi Baraza akamuuliza kijana yangu shida ni nini? Jayden akamwambia hakuna kila kitu iko sawa but deep down,Barasa na Salome walifeel there is more to that na wakashuku huenda babake Jojo hajampenda Jayden
End
NEEMA CITIZEN TV 18 APRIL 2025.
๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐ ๐
Dancan siku iliyofuata,aliamkia kwa kwa bank akachukua loan na akaleta kwenye yafaa afanye kazi. Huh! Mchezo wa town. Kisha Dan akauliza,kama kuna kareceipt for formalities kiasi,akaambiwa hata wee usijali,sisi tunafanya business legit so usiwe na wasiwasi...alaaa๐๐๐kisha Dan akasema mnajua bibi yangu haamini saaana so mnaonaje hata mnipe gari moja ndio at least akiniona na gari ataamini sana? Wakamwambia hata usiwe na shaka,twende uchague gari lenye unataka.
Salome alikuja kuchagulia Jayden nguo mzuri yenye atavaa akienda kuona Eddy,leo ni siku ya kijana kumeet na father in law and his mum ameona amchagulie.
Kwa Mark, Amani alikuja kuomba msamaha kwa venye alimisbehave hivyo kisha akauliza Jojo, mbona unapenda kuongelea Mark vibaya na venye jana he was there first thing after umemcall,that means he is a good guy. Jojo akamwambia sikiza, I call my dad kwanza but alikua busy. Amani aliambia Jojo, Mark ni msee mfiti sana ni wewe tu ndio unapenda kumchomea akae jamaa mbaya but all along wewe ndio mbaya na venye unakaa uso kama ugali.
Eheeee! Dancan amepewa gari amekuja nayo,na wako na furaha sana,kwanza Sharon kuona bwanake amebuy gari nduru si nduru. Sharon alicall akina Isabelle akawaambia nyi hamjui bwanangu,anakuanga na bidii sana na soon atanunua mansion kubwa sana. Yani Sharon ako very happy kuruka.
Hapo na hapo,Val ashapiga picha ametumia Jojo kumwambia wako na gari... Jojo anauliza Val kwani mumeshinda jackpot ama? Val akamwambia zii,ni God tu manze๐๐๐
Mikakati zishaanza kupangwa kupeleka Mark sayuni. Karen pia anapanga zake venye atadeal na Neema.
Mark yeye hana habari anafanyiwa plans na wenye wanapanga hadi wanapitana na yeye but ju yeye anajua hana ubaya na mtu,haezi shuku anything.
๐๐๐๐ ๐
Siku ni ya Jayden kumeet Eddy na hata Jojo na Eddy washafika. Jojo alifanya intro akaambia Eddy kuhusu Jayden before afike.
Huh! Sasa kuna shida hapa,Jayden kufika Eddy akamuuliza,so wazazi wako wanafanya kazi gani? Jayden akamwambia babangu ni fundi wa radio na simu. Eddy akacheka,akamwambia acha jokes kijana unakuanga comedian? Jayden akasema zii,iam serious babangu huunda simu na radio. Eddy akaona huyu ndio anataka kuoa mtoto wangu,aaaaaai๐๐๐
On other side, sherehe ishaekwa Sharon ashaalika akina Neema kwa hotel ingine kubwa sana. Huku ni kukula wakikunywa tu hadi Sharon anauliza Neema kama ashawai fika kwa hii hotel kubwa๐๐๐
Sasa Sharon badala wafocus na sherehe akaanza upuzi. Mark aliambia Dan at least utakua unafanyia kazi karibu na familia na Sharon akaambia Mark,eeh kama tu huyo bwana wa Neema amerudi kutafuta familia yake baada ya kujua umuhimu wa familia,lakini Babu aliambia Sharon,saa zingine ongea sense, si kuongea ongea na sura kama ugali. Babu hapendi Neema akiongelelewa kitu mbaya.
Kumbe kwa hii hii hii hotel,maskini wa Mungu wale magaidi walitumwa kumaliza Mark,walikua hapa hapa watching. Makosa sana.
Jojo alisuggest ile idea ya waende na Jayden majuu kusomea huko lakini Eddy akamwambia aah, hapo kiasi unarash my daughter. Eddy anasema hivi ju anaimagine ati Jayden na Jojo anaona never.
Sasa,Jojo alijiexcuse kiasi kuosha mikono akaacha Jayden na Eddy kwa meza. Eddy akaambia Jayden sikiza, huu ujinga unataka kuenda na mtoto wangu majuu sahau kabisa,unapanga kama nani? Jayden akamwambia hata niliambia Neema na akakubali lakini Eddy akamwambia mimi ndio babake na mimi ndio kusema plus unaenda na yeye utamlea na nini na hata pesa za pikipiki hauna? Jayden alijitetea lakini Eddy akamwambia mtoto wangu hatasomeshwa na pesa za msaada,and that will never happen. Eddy aliona Jojo amerudi akanyamaza but akaona tu environment akajua si kuzuri๐๐๐
On other side,gaidi alicall Eddy akamwambia,huyu Mark anatembea tu na bibi yako na watu wengine.Eddy akamuuliza so? Jamaa akamwambia yafaa awe peke yake kwanza ju akiwa na watu inakua ngumu kiasi. Eddy,anataka kumaliza Mark.
๐๐๐๐๐ CITIZEN TV ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ 2025 ๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐ CITIZEN TV ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐ 2025 ๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐ ๐
Mark na Jojo wakifika nyumbani,walipata Neema ashafika already hadi akawauliza yoh,mnatoka wapi? Mark akaambia Neema usijali tulikua na kasmall meeting an Jojo na beef yetu imeisha hadi Jojo akaomba msamaha? Neema akamuuliza Jojo kama ni kweli,Jojo akasema ni kweli but mjue my stand remains...Mark hivyo ndio aliokolea Jojo wasijue alikua kwa trouble.
Mark alimuuliza Neema kuliendaje meeting yake,Neema akamwambia amejitetea na nishampea warning asijaribu kuja between us or else atajua hajui...that was good for Mark as well na tena Mark akamkumbusha Neema akamwambia Barasa alikua ametualika kwake for dinner..si kawaida ya Baraza but Mark alimwambia ni asharudisha wife.
Maelek aliuliza Neema kwenye Ian ako but Neema akamwambia babu yake amemkatalia akasema maybe sisi tuko na maneno yetu kiasi. Babu alichanuka akaona,aha achukue Ian,ndio Mark na Neema wawe na good time๐๐๐
Kumbe Mark wakijipanga kuenda,Jayden na yeye alikuja kwa Mark washinde na Jojo ndio apee akina Mark na Neema time ya kuongea na wazazi wake na hata Jayden amekuja na movies wawatch ziwakeep busy ju its been a while. Jojo akamwambia ni venye tumekua na tu ish! ish! kiasi, Jayden akamwambia ni kweli,ni venye sometimes nafeel haunipi priority. Jojo hakuambia Jayden walienda an Amani out kikawaramba๐๐๐
Dancan na yeye kazi ni paper work tu kwa biashara yake but Sharon anamwambia my dear,hata kama sijui mbona nafeel fishy kiasi kuhusu hii biashara yako but Dan alimwambia usijali bebes,wee tulia nikuonyeshe maajabu. In as much Sharon anataka sana waomoke, anafeel deep down hii biashara si poa. Dan anapiga mahesabu anaona pesa ako nazi hazitoshi so yafaa achukue loan lakini Sharon akamuuliza na security utaeka kama nini ju unajua loan lazima uwe na security? Dan akamwambia so niliona,security niweke hii nyumba yetu. Sharon alishtuka,hadi akaruka juu, "ati what" nyumba yetu uwekelee kama security kwa loan, NEVER EVER๐๐๐๐
Mark washafika kwa Barasa. Neema na Salome walikua jikoni wakaongea about their issue kiasi za ndoa na za kitambo.
Jojo ana Jayden wako busy wanawatch movie fulani hapo ya Dj Afro,movie ya Alu Arjun akipiga akina Nanabai na Rajubai๐๐๐wanaenjoy sana.
Huku Sharon amewaka anauliza Dan,kwani unaniona mjinga aje? Dan akawaambia sikiza,msiwe na wasiwasi,but incase hii ifail tutauza magari tununue nyumba ingine but Val akamuuliza dad,mbona basi usiweke hayo magari kama security? Dan akasema shida bank haikubali magari kama security. Dan aliwapanga Sharon na Val hadi akaambia Sharon,kubali tu niweke nyumba na nitakung'arisha hadi Neema akikuona anasikia tu poa and just like that,Sharon akafanya one,very big mistake,akakubali,aah! Makosa. wah!
๐๐๐๐ ๐
Siku iliyofuata,Neema washakuja kazini na Mark huku Neema anaambia Mark, very soon vitu zitakua sawa ju ashapea Eddy stopper hatawai kuwasumbua lakini punde si punde,mwenye alipewa warning alifika๐๐๐Yani Eddy tu! Neema akauliza Eddy after kukuambia? You still have guts to come but Eddy akamwambia relax,sijakuja kwa niaba yako,nataka kuongea na Mark man to man...Mark akaona haina shida,twende tuongee.
Eddy alikuja akaomba Mark msamaha kwa kumkosea heshima na Mark akamwmabia haina shida,iam ok,kisha Eddy akaambia Mark,nashukuru sana kwa kusaidia familia yangu but ju nisharudi,kindly I want to take over responsibility lakini Mark akaambia Eddy,unajua hauna akili,mimi sijakuzuia anything na sina uwezo wa kukukataza huo ni uamuzi wa Neema na shida ni hutaki kukubali kuwa Neema hakutaki tena but Eddy alimwambia sikiza,najua Neema sana bado ananipenda na soon atanichose mimi but Mark akamwambia you do whatever you want to do but no at one point umhurt ju nitakutandika vibaya sana..Eddy akamwambia ni sawa,lets see,kati yako na mimi atachose nani and let the battle start.
Eddy alitoka akaenda na akapigia jamaa fulani simu,akamwambia nataka unitafutie wanaume watatu wazuri,nataka wanifunzie mtu adabu. Eddy ameamua kutumia rough way kudeal na Mark sasa,wah! Nikubaya.
On other side, Barasa na Salome penzi limerudi sasa,hadi wanaamka kusaidiana kazi hapo nje. Jayden bado kiburi ako nayo na leo hii anaenda kukutana na babake Jojo,na Salome akamwambia by the way, make sure first impression,it reall matters na hata naeza kukuchagulia nguo poa. Jayden hakukataa akakubali na ina maana kiburi kimeanza kupungua.
Eddy na yeye alienda akatafuta jamaa,gaidi mbaya sana akampea kazi na akamwambia you only have one mission to accomplish,kesho nataka akusikia Mark amevunjwa vunjwa vibaya sana,wueh! Nikubaya sasa...Eddy ameamua kuumiza Mark ndio aachane na Neema,will it work? Tutaona kesho.
NEEMA CITIZEN TV 4 TH APRIL 2025.
๐๐๐๐๐ ๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐ ๐
Kwa kina Mark,story ni Babu Jay na Isabelle venye walikua kwa beach..kumbe hii weekend walienda honeymoon na wakajenjoy sana,si kwa beach,si kupanda ngamia and every enjoyment walikua nayo.
Punde si punde, Sharon akamcall Isabelle,akamuuliza uko wapi? Isabelle kusikia sauti ya Sharon akajua Sharon hayuko sawa akamuuliza shida ni nini? Sharon akamwambia niko sawa,wee fanya chenye unafanya ukirudi uniambie,nataka tuongee....Sharon,anataka kuongea na Isabelle.
Kumbe Eddy na yeye,alikua kwa bossy wa Mark,akamdanganya ati ooh alikua ametravel ju ya biashara na hata Neema ni mke wake. Bossy akamwambia hata ndio anashangaa sana kusikia Neema ako na hubby ju hajawai sikia. Eddy akamwambia so soon nataka kufungua hotel na I guess Neema hatakua anakufanyia kazi tena..Bossy akamwambia na Neema mwenyewe hajaniambia? Eddy akamwambia usijali,atakuamba tu soon.
Kumbe sasa๐๐Amani na Jojo washaanza kuingiana and hii ni baada ya Jojo kumgonga. Jojo akamuuliza ulikua unaenda wapi huku? Amani akamwambia nilikuja kuonana na mzee anaitwa Mark and take some photos za greenhouse although nimeambiwa hapendi mzee wa mapicha picha? Jojo akamwambia Mark namjua,so nitaongea na yeye utakuja kutake photos...Amani akamwambia thats good,si hata unipe number zako just incase uwe free kesho nikuja unipeleke? Jojo akamwambia haina shida, kesho hata nitakua free so nitakupeleka.
Amani already ashaanza kupiga Jojo photos but Jojo akamwambia yoh, don't take my photo sipendi picha kabisa,so Jojo akachukua camera kudelete ile picha lakini kuangalia ile picha akasema nini "this is actually good,so keep it haina haja iwe deleted" ๐๐๐
Its around saa tatu ya usiku,Jojo ndii anafika nyumbani,na kumbe amekuja na Eddy..Neema aliona Jojo akismile akamuuliza ni nini? Kumbe washapanga,Eddy akuje na maua kumpea Neema na bila Neema kutarajia,Eddy alikua ashaingia amepiga magoti akimuita my love,take this flowers...Neema akachukua maua na akaambia Eddy, yes this means alot to me na hadi akanusa ile maua akasema wooow this flowers smells nice,hii time yote Mark amenyamaza na amekasirika sana anashindwa mbona Neema achukue maua. Alafu cheki Eddy akaangalia Mark na akasmile na ile macho ya "huyu ni wangu bro"..lakini Neema aliaimbia Eddy sikiza,maua mazuri lakini unasahau kitu moja,to me wewe ni stranger and a nightmare so hutu tupuzi unajaribu kufanya yafaa ujue iam someone's wife to be...Kisha Neema akatupa maua chini na akakanyaga...Mark na yeye akaangalia Eddy and this time round,ni Mark alismile na akaangalia Eddy na ile macho ya "huyu ni wangu brother"๐๐๐
Baraza na yeye akiwa kwake,alibishiwa mlango,kumbe ni Salome na amekuja na bag,na kila kitu chake.
๐๐๐๐ ๐
Eddy alianza kujam sasa,anauliza Neema mbona unikosee heshima mbele ya mtoto wangu? Neema alimwambia huu ujinga uachane nao,hii blackmail yako sahau kwangu...Mark aliona huyu anapiga kelele akaamka akaambia Eddy,kwangu kelele hutaweza bro..karibu hadi wapigane na Neema akaambia Eddy,wewe chenye nangoja ni divorce tu lakini Eddy alimwambia hakuna divorce hapa,hii yenye unangoja it will take 1yr.
Neema kusikia hivyo,alimcall Richard akamuuliza,si ulisema notification ya divorce takes 1 month? Richard akamwambia yeah but Neema akamuuliza na mbona Eddy ako hapa anasema it wil l take 1yr? Richard akamwambia ni uongo,hakuna kitu kama hiyo,na hakuna kitu ameappeal. So Eddy alikua anadanganya tu๐๐๐
Jayden alikuja akauliza mamake unafanya nini hapa? Salome alimwambia anataka kutulia huku but Jayden alikataa,akamwambia sikiza, sina mama mimi,na wewe si mamangu...Salome alianza tu kulia. Jayden alimwambia mimi mtu najua ni babangu and he is everything to me,so wewe sikujui na sikutambui.
Kwa Mark kulianza kuchemka, Eddy anauliza Neema, so uliona nini kwa huyu mjinga,yani hata huna aibu kufanya hivi mbele ya mtoto,na akianza kuchukua tabia zako za kukaa na mwanaume mwingine?(huyu ni Mark anaitwa mjinga) alafu Jojo pia kanachangia sana but Mark akauliza Eddy, naona unaongea sana,and you are not man enough to confess to your daughter right? Jojo akauliza babake,Mark anamaanisha nini kuconfess kwangu? Eddy akamwambia huyu achana na yeye..Eddy haezi taka Jojo ajue ati alikua na mwanamke mwingine.
Richard na Naomi wake bado wanaletana tu but Richard ashaamua,yeye na Naomi zii...
Salome alikaribshwa na Baraza na hata wakaanza kukula hapo na kumbe Salome ako njaa sana..alikula chakula,mbaya sana. Baraza hana shida na bibi yake,shida ni Jayden.
Salome ashaambia Baraza yeye na Francis washadivorce na Baraza akamuuliza was it by mutual agreement? Salome akamwambia yeah,it was mutual na hata shares zangu niliacha huko.
Jojo kako na mdomo sana. Neema anaambia Jojo watch your mouth lakini Jojo alisema zii,siezi kaa hapa ninyamaze after chenye umefanyia babangu. Mark aliambia Jojo,watch sana mdomo yako lakini Jojo akamwambia wee pia nyamaza,wewe si babangu. Mark akamwambia yeah,you are very lucky iam not your dad ju ile kitu ningekufanyia wewe...Jojo akamwambia nyamaza ndovu,huwezi kuwa ba...b...hata Neema hakungoja Jojo amalizie, alikasukumia kofi moja,mbaya mbovu. Hadi Mark mwenyewe akashtuka. Cate na Tom wako hapo wanajionea kila kitu.
Jojo hana adabu kabisa na kama huwa unawatch Neema na watoto wako,ikifika part ya Jojo,tuma mtoto aende achote maji kwa duka ama hata aende anunue kiberiti kwa hardware ama umwambia aende butchery aulizie kama wako na panty za 30 bob.
Jayden alitoka,babake akamuuliza unaenda wapi na ni usiku? Jayden akamwambia naenda workout kiasi na usiningoje nitachelewa. Salome aliambia Baraza,our kid really hates me but Baraza akamwambia usijali,its just a matter of time atakua sawa
NEEMA CITIZEN TV 15TH APRIL 2025. FULL PART 1 AND 2.
๐๐๐๐๐ ๐
๐๐๐ ๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐
Team Neema,usipite hii kaa haujaeka CLICK ADVERT MOJA
Like ukiendelea kusoma.
๐๐๐๐ ๐
Mark alienda akaleta ile barua yenye amepewa kwa gate na Grace but kuuliza Kate kama anajua Grace,Kate akamwambia zii,hamjui..Mark akamwambia amenipea hii barua. Kate kufungua barua,akaona ahaa imetoka kwa Uncle Lari,akaambia Mark nishajua Grace,msimamishe please...Grace ni mtoto wa Uncle Lari na hii barua imetoka kwa Abel..Abel ni nani? Abel ni mmoja wa wale wenye walikua wanatafuta Kate..Neema akamuuliza kama barua ni ya Abel si wewe kwisha? Kate akamwambia zii,Abel ni mtu mfiti hana maneno.
Mark alimuita Grace akamwambia sorry nilikudanganya Kate hayuko but amesema you can come.
Karen na yeye,alitumiwa text na Alphonse,akamwambia nipe your location nifike mbio sana. Karen akajua baaasi,chuma cha Naomi ki motoni sasa,kwanza washaagree na Alphonse kudeal na yeye,atapenda!
Kate na Grace ni miaka sana hawajaonana,so it was a happy moment kukutana...Kate alintroduce Tom kwa Grace na already Grace alikua anajua jina tu,but hakua anajua anakaa aje,sai ndio anaona ahaa,haka ndio kaboy ๐๐๐
Eddy na yeye alimcall Neema,Neema akamuuliza unataka nini? Eddy akamwambia iam sorry everything happened so fast,unaonaje tumeet tuongee? Neema alimwambia sikiza, stay away from,kaa mbali sana na mimi! Neema hataki anything to do with Eddy alah!
Tufike kwa msimbitini wetu,Dancan,amekuja kutafuta kachai huku kwa hotel na kumbe kuna beshte hapo anamjua,akamuuliza kazi iko aje? Dan akamwambia kiasi sai sina kazi,nafikiria maybe biashara kiasi. Akaulizwa biashara gani? Dan akamwambia biashara za magari hivi hivi...jamaa akamuuliza na pesa uko nazo mkuu,ju biashara za magari hutaka pesa mob sana. Dan hana pesa,lakini cheki,hapo tu kwa hotel,kuna jamaa alikua anasikia Dan wakiongea na akakuja hapo akamwambia mzee,nasikia unataka kufungua biashara? Dan akamwambia yeah...
Huku kwa Mark, tena Amani alikuja na ameleta zile picha. Amani alimwambia sorry about your watch na inakaa kuna memories zinakuaffect sana? Mark hapendi mtu anamuuliza uliza maswali,akamwambia si umeleta picha kijana,unaeza enda sasa lakini Amani alimuuliza,jana nilisikia story sana,does it mean kuna mtoto ulipoteza ama? Mark alisimama akaambia Amani sikiza, its good to be curious but si poa kuingilia maneno ya watu wengine๐๐๐Mark hana habari huyu ni mtoto wake.
๐๐๐๐ ๐
Ian ashaamka na mkono wake unauma kiasi. Jojo na Neema wako hapo na wakiwa tu hapo, Eddy akamcall Neema..Neema hakutaka kupick but Jojo akamwambia si dad anacall.. Neema akashika tena akamuuliza unataka nini? Eddy aakmwambia please, nataka tu tuongee,nikuje jioni nikuchukue tuongee... Neema aliona ili kumaliza maneno akaambia tu Eddy sawa sawa.
Mark pia aliwajoin na amesikia Ian akisema ni uchungu mkono. Kisha Ian akaambia mamake hataki apakwe na mamake,anataka kupakwa na uncle Mark,sasa Jojo akisikia hivo,kinaumwa,mbaya mbovu๐๐๐
Jayden amekuja huku anataka kuongea na Jojo. Jayden aliona nikama Jojo hayuko sawa,akamuuliza kwani umenijamia ama? Jojo akamwambia zii,mbona? Jayden akamwambia your face tells it all..Jojo akamwambia si ni wewe jana umesahau chenye ulisema jana nikijaribu kusema mamangu asiwe na Mark...Jayden akamwambia zii, plus unaona hata Amani alienda na babako na mimi hata introduction pekee hujawai fanya. Jojo akamwambia now wait. Jojo akacall babake akamwambia anataka wameet na boyfriend wake kesho,Eddy akamuuliza Ben? Jojo akamwambia zii,si Ben huyo tuliachana,ni mwingine๐๐๐woiye Jayden.
Dancan na yeye amerudi nyumbani akiwa very happy,akaambia Sharon guess what,nimepata deal ingine safi sana,Sharon akamuuliza gani? Dan akamwambia kuna jamaa amesikia nataka kuanza biashara za magari,so wamenipea deal na naona tutaomoka sasa..lakini Sharon akamuuliza,pesa utatoa wapi? Dan akamwambia unajua kuna tupesa nilikua nasave kiasi tutaanzia hapo..Sharon akamwambia ooh,so kumbe uko na tupesa na venye nimekua nateseka hapa๐๐๐
Ian ashatengenezwa mkono na akaambia Mark na Neema venye anawapenda. Ian aliambiwa aende kuwatch cartoon. Neema akaambia Mark,Eddy anataka sana tumeet and set things straight about our kids..Mark akamwambia haina shida,its better done once ndio aache kutusumbua sisi.
Jayden amerudi home hadi babake anashangaa amerudi haraka sana. Jayden alienda kuongea na Jojo but maongezi haikufanyika. On other Barasa akaona ndio hii nyumba yao iwe na mood poa,acha apange siku wainvite akina Mark wakuje wakule wakipiga story za maisha.
Kuna barua Salome alikua ameachia Jayden kwa bed,ingine sasa but sasa si barua barua,ni bahasha ya picha za Jayden akiwa mdogo.
Amani alimcall Jojo akamuuliza kama aliona photos? Jojo akamwambia yeah,niliziona..Amani aliambia Jojo nimeboeka sana na huku sijui mtu. Jojo akamuuliza so ju umeboeka ukaona unicall sindio? Amani akamwambia unaonaje ukuje nikupeleke pahali iam sure utafurahia..Jojo akamwambia I think hauna kichwa mzuri wewe..Amani akamwambia come, trust me utafurahia..Jojo akasema shida kuna bro wangu siezi muacha peke yake but Amani aliinsist sana.
Sasa hawa na wao๐๐Neema na Eddy wako kwa gari wanaenda kuongea,na hawaongeleshani๐๐๐wamefuriana vibaya sana. Wanaangaliana kwa macho za pembeni๐๐๐๐๐
Haya wakuu sitaki kuwachosha saaaaana kuwakumbusha tu kama uko n 20bob unaeza pata 250mbs 24hrs ukitumia hii till 4500526
Neema Citizens TV 14 TH April 2025 written Updates
๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐
๐๐๐๐๐๐๐ ๐๐๐๐๐๐๐
๐๐๐๐ ๐
Ahaa! Huku kwa Mark mambo ni fiti tu hadi Mark anakimbizana na Ian wakicheza and Ian is super excited. Kuna zawadi Mark alikua amebuyia Ian na ishafika wakati wa kumpea na kumbe hii zawadi,sikiza, Mark kuna zawadi alipewa na babu yake,na hii zawadi ameamua kumpea Ian,lakini punde si punde,Eddy akafika๐๐๐Ian akaambia babake,dad, ona uncle Mark amenipea zawadi,lakini Eddy akachukua ile zawadi ya watch akaitupa akaambia Mark sikiza, kama ni zawadi unataka wa kupea enda pea mtoto wako Joseph.but for my kid na bibi yangu achana nao, Neema akaambia Eddy acha ujinga,who is your wife?
Eddy amejam lakini alifanya makosa,akamshika Neema mkono cha nguvu,ati aende na yeye,hahaaaa! Eeh,Mark alimshika Eddy anakumfunika kofi moja tu,hadi chini! Cheza na mwingine lakini usicheze na bibi yangu mtarajiwa๐๐๐Vita zilikua zinazuka hapo but watu akina Amani na Jayden wakaingia wakashika wanaume wawili. Eddy ilibidi ameenda,hata hakua amemaliza 3min hapo,venye tu alikuja, ilibidi arudi na kofi safi sana. Yani alifunikwa kofi akaokotwa hapo chini๐๐๐
Jojo na yeye amejam,anasema venye Mark ako mannerless but Jayden akamwambia zii,ni babako ameanza hii yote,Mark hana makosa hapo.
Mark alikuja akaongea na Ian,akamwambia kid,iam sorry,iam soo sorry kwa kutandika babako,but mtu kama huyo yafaa asalimiwe na kofi..Ian alielewa Mark,na hata wakaenda na yeye. Jojo akiona hivyo,anatamani kupasuka๐๐๐
Barasa alikaa akaona wueh,bibi hanunuliwi sokoni,alitoka mbio akamfuata Salome and good thing,Salome hakua ameenda mbali. Barasa alimfuata akamwambia please please, you can't be running kila saa sasa sai unaenda wapi? Salome alimwambia hata pia sijui kwenye naenda but naenda tu,but Barasa alimwambia please,I can't leave without you,nimeishi na hii wound na ukienda sitapona tena,I need you Salome.
Sasa Jayden na Jojo,washaanza kuletana juu, Jayden anaambia Jojo venye wako soo close sana na Amani na wamejuana tu only...Jojo anaambia Jayden sijui huwa unanibeba aje lakini Jayden anamwambia zii,si hata umeona ametoka na babako hapa?
Huku nje, Amani aliuliza Eddy,kwani shida ni nini,si you two are divorced? Eddy akamwambia zii,nilikua nimeenda tu away kiasi but nimerudi,lakini Amani akamuuliza,kuna kitu umesema ati ile zawadi angepea mtoto wake Joseph kwani unamaanisha nini? Eddy akaambia Amani sikiza,huyu Mark niliambiwa story,ati alikua na dem na hakujua walipata mtoto,mbona asiende kupea huyo mtoto zawadi na amejua juzi tu? Amani akamuuliza wait,so unamaanisha Mark hakua anajua ako na mtoto? Eddy akamwambia eeh,but ameambiwa juzi tu na akajua...Eddy hana habari huyo mtoto ni huyu Amani but sasa hii pia imeshtua Amani kujua kuwa Mark hakujua Amani existed,until recent. ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Turudi kwa Mark na Jojo,Mark anauliza Neema,mbona Eddy anabehave hivyo? Neema pia anashangaa kwanza anasema si yeye alialika Eddy..lakini Jojo alikuja,akasema ni mimi nilialika dad akuje..Neema akamwambia now,ashaharibu party ya mtoto wake are you happy now? Jojo akamwambia zii,makosa ni ya huyu mwanaume Mark,why is he all over Ian? Jojo kanadhani kalisaidia,but ni kuharibu kaliharibu! Jojo thinks Mark is closing boundaries kuwekea Ian party.
๐๐๐๐ ๐
Mark alikuja jikoni at least akunye maji kiasi na akiwa hapo,Neema alikuja akamlalia kwa mgongo,huku anamwambia manze,iam soo happy to be in love with you,kwanza venye umeomba msamaha kwa Ian,you have just melted my heart. Kumbe wakiongea,kwa mlango Sharon alikua anasikiza kila kitu๐๐๐
Sharon after kusikia kila kitu alibisha akaingia, alikua analeta sahani na akaambia akina Mark,msichome nyumba ju kuna joto mingi sana hapa...but all in all, Mark aliambia tu Neema kitu moja, I love you na Neema akamwambia I love you more & Good Night.
Amani pia ashakuja kwenye huwa analala but kitu kinamkula kichwa ni maneno Eddy amemwambia kuwa,Mark never knew hakua na mtoto...
Jayden pia ndio anafika nyumbani,hakupata mtu but kwa bed yake,akapata ile barua na akaipitia venye mamake ameomba sana msamaha kwake..kumaliza kusoma, Jayden akatoka mbio kuenda kutafuta mamake na kufika kwa mlango akakutana na babake ndio wanarudi,akauliza babake,dad,kwani madhe alienda? Kumbe Salome alikua nyuma,kumbe Jayden ashaanza kurealize he needs his mum.
Sharon na yeye amefika nyumbani badala ya kulala,ameanzana kelele na Dancan ๐๐๐
Barasa alikuja akaongea na Jayden akamwambia mamae alikosa ndio but ashalipia ya kutosha. Jayden akamuuliza so ushamsamehe? Barasa akamwambia yeah,na ju asharudi hapa,then it means she also loves us,so please pia msamehe.Jayden anakaa mgumu but hope he realize that mapema.
Siku iliyofuata,kila mtu ashaamkia mezani wanakunywa chai na Ian amekaa karibu na Mark. Sasa Jojo kukuja,akauliza Mark,kwani wee mwanaume hujawai choka,mbona unaishi kuplay father kwa Ian? Ian akaambia Jojo wee pia yafaa ujue umekua mtu mzima,unaishi kuchukia uncle Mark na venye ametusaidia? Jojo akamwambia apana Ian,kumbuka uko na baba lakini Ian akamwambia zii,baba mgani mwenye aliharibu birthday yangu jana? Jojo akamwambia wee hufai kusema hivyo kwa baba yetu,lakini Ian alimwambia sikiza Jojo,uncle Mark ametusaidia sana,kwanza wewe amekutetea sana ukiwa kwa mashida,napenda uncle Mark na pia napenda baba yetu but wewe ni mkubwa hufai kudisrespect uncle Mark..Ian alipea Jojo stopper ingine kali sana.
Mark akiwa ametulia hapo nje, gate kulibishwa na wakati anafungua,akapata ni dem fulani hapo mwenye hajui. Dem aliuliza Mark kama Kate ako but Mark akamwambia zii hayuko...Huyo dem akapatiana barua fulani na akaambia Mark,Kate akirudi utampea hiyo barua lakini Mark akamuuliza wee,unajuaje Kate? Huyo dem akamwambia nini "mwambia tu ni Agness"





























.jpg)





.jpg)


.jpg)


















.jpeg)

.jpeg)

.jpeg)