CITIZEN TV NEEMA 21 APRIL 2025 WRITTEN UPDATE.


 ππ„π„πŒπ€ πŸπŸπ’π“ π€ππ‘πˆπ‹ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 

Shere bado inabamba kubamba,Dancan ameamua kuspoil majirani kwa chakula kwa sherehe ya ati Dan amenunua gari,lakini maskini wa Mungu,huku nyumbani kwa Mark,there is an intruder,aah! Makosa.


Huku nyumbani,ni Cate mjamzito,Ian mwenye hafeel poa,na Tom, na sasa kuna gaidi ameingia ndani,woi...


Neema wakiwa kwa sherehe,alianza tu kufeel something is weird kiasi,hadi akaambia Mark babe,we better go home,its getting late. Mark akamwambia acha niende basement,nichukue gari nikuje hivi twende, so Mark akatoka akiwa peke yake akaenda basement kuchukua gari lale ndio akuje amchukua Neema waende,makosa ya pili.


On other side, Eddy amekuja na Jojo na Jayden kwake akiambia Jayden sasa huku ndio atakua anakaa na akina Jojo. Jojo alikua jikoni akapika kachai akaletea babake but Eddy hajazoea kuona Jojo jikoni hadi akamuuliza my daughter,kwani unajua kupika chai,last nikiwa na nyinyi kitu ulikua unjua kupika pekee ni mdomo na kelele..Jojo akamwambia yeah Jayden alinifunza..Eddy hapendi kuona Jojo akisifu Jayden,ju hampendi Jayden just because they are from poor,very poor backgroud.


Mark na yeye,kufika tu kwa basement achukue gari,kumbe apart from gaidi mwenye amekuja kwake nyumbani,kuna magaidi wengine walikua wanamngoja huku kwenye wanafanya sherehe.


Gaidi wa nyumbani ashafika ndani,na anatembea pole pole na kuna vitu anatafuta,alikua kwa drawer akapata kuna picha ya Mark an Neema yenye alichora,akaona si hii akaeka kando,akaangalia ingine akapata ya Neema alikua amechorwa akaona si hii pia akaeka kando,kwani huyu na yeye anatafuta nini..ahaaa Chenye anatafuta,alikipata na niwaambie tu ukweli mapema mapema,gaidi...kwanza akiendelea kutafuta,akaangusha glass,makosa,sasa Kate akasikia.


Sikiza, gaidi mwenye ako kwa Mark kwa nyumba si gaidi wa Eddy,huyu ni Amani ama Joseph,ukipenda,sasa makosa ni ameangusha glass na Kate akasikia akamuamsha Tom na Tom kuna gun anakuanga nayo,akajua baaaaaasi,kama kuan wakati yafaa atumie hii gun yake ni wakati huu sasa.


Tom aliamka pole pole kufika akapata ndio Amani anaenda akamwamabia mzee,ni usimame hapo ama nikutoe kichwa na risasi. Amani kuona bunduki,akajua wueh,acha tu atii amri lakini cheki ujinga wa Tom, badala ya kutishia gaidi akiwa mbali alimsongea karibu na kufumba na kufumbua macho, Amani aligeuka,akashika gun ya Tom wakanza kuvurukana na kwa ile harakati,maskini wa Mungu,risasi ilitoka kwa gun,ikampata mbaya mbovu...ilimpata nani? Twende part 2


𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐 

Mark na yeye kufika kwa parking,alishindwa,hawa ni nani wanamfuata nyuma ikabidi asimame akauliza oya,mnataka nini? Jamaa wakamwambia tunataka kila kitu chenye uko nayo. Huh,Mark aliwaambia hiyo sidhani kama itawezekana lakini walimwambia si ati tunakuomba tunakuitisha. Kufumba na kufumbua macho,Mark alikua ametandikwa vita zingine safi,mbaya makosa. Wueh.


Huku kwake nyumbani nakwo, Kate ashaamka akapata ni Tom pekee yuko hapo chini,Amani ashaenda,kitambo sana na risasi yenye ilipigwa,ilimpata Amani, makosa sana. Kuna damu pale na hiyo damu ni ya Amani.


Tom aliambia Kate yeye ako sawa na damu ni ya yule mwizi ,na ni kweli,Amani kufika nje,ndio anaanza kufeel risasi sasa,wueh! Ni kubaya.


Upande wa pili Mark ashapigwa yuko hali mbaya,na upande huu mtoto wake ambaye ni Amani ashapigwa risasi.


Kumbe Ian, wakati alisikia alichungulia kwa dirisha,akaona yule mwizi,though hakuona sura,but urefu ni wa Jayden but sura ni black,so aliambia akina Kate,huyo mwizi anakaa Jayden but yeye ngozi ni black so si ya Jayden,na kuna tu mtu mmoja mwenye anatoshana na Jayden mwenye ni blacky na huyo mtu ni Nandwa,aah sorry si mimi,huyo mtu ni Amani.


Neema amengoja Mark alete gari anashindwa wait,kwani parking ilihama ama,ikabidi akuje kuona kuna nini Mark hakuji,kufika akapata Mark bado anatandikwa,mbaya mbovu. Wale magaidi kuona Neema,wakahepa but Mark ametandikwa vibaya sana. Walijifanya magaidi ndio Mark asishuku wametumwa.


Huku kwa Eddy,anajisifu sana akiambia Jayde,yeye hufanya vitu kwa utaratibu ju hapendi kufanya vitu cheap cheap. Jayden akakaa akaona hapa hatakaa na fala tu,akaambia Jojo yeye anataka kuenda home its getting late. Wakiwa hapo,Eddy akapigiwa simu akaona ni gaidi wake akatoka kiasi kushika simu.


Eddy aliambiwa washamaliza kazi na wamedeal na yeye venye inafaa.


Mark walikuja wakashtaki police na wakati karao aliuliza Mark kama ako na any enemy maybe,but Mark anajua hana adui akamwambia zii,sina adui hata kidogo lakini Sharon alisema zii,akaambia police,huyu Mark adui wake ni mmoja tu,Eddy bwana wa Neema,na jana kwa party walipigana vibaya sana. Mark hakutaka kusema hii but Sharon akaisema na ikawa recorded.


Sharon alishika msimamo na hata Mark akisema issue yake na Eddy ilikua tu small na wakamaliza,Sharon anasema zii,lazina huyo ni Eddy hadi Dancan akauliza Sharon,mbona unatetea sana Mark🀣🀣🀣🀣Dan hataki kuona bibi yake akitetea Mark.


Wakati huo huo,Mark akapigiwa simu na Kate akamwambia huku nyumbani something has happened. Mark wakatoka teke kuenda nyumbani.


Jayden pia alifikishwa nyumbani na akaambia Jojo wakutane kesho lakini Jayden akishuka,Eddy alimuangalia na macho zingine za wewe kijana nikupate na msichana wangu tena utaona moto but after Jayden ameenda,Jojo kuuliza babake kuhusu Jayden na venye anamuona? Eddy alimwambia Jayden si mbaya viiile but I guess you need someone else mtu kama Amani hivi anakaa poa kuliko huyu Jayden🀣🀣🀣


Amani na yeye maskini wa Mungu,lile risasi kwa mkono lilimzidi,damu amevuja mingi sana na yuko kwa barabara.


Eddy na Jojo wamefika nyumbani na wakiwa wamesimama hapo,ndio wakati Neema na Mark wanafika wakiwa wameshikana mikono...Eddy akaona Mark ameumia akamuuliza kwani umepata ajali? Mark akamwambia its nothing.


Sharon pia alikua hapo na akaanza story za mtu kuvamia huku, Eddy kusikia akauliza Neema,yani umeenda out na boyfriend ukaacha mtoto? Sharon akamwambia relax, alimuacha na Kate..Eddy akauliza Kate na yeye ni nani na ju Sharon huwa anadhani Kate ni wife wa Mark, akaambia Eddy haya,kwani humjui,huyo ni wife wa Mark🀣🀣🀣


Eddy alijam akauliza Neema,kwani umeoleka kwa married man? Neema alimwambia I owe you no explanation. Sharon kwa ile harakati,akaropoka akaambia Eddy kwanza wewe tunajua umeenda ukakomboa magaidi waumize Mark,usidhani hatujui🀣🀣🀣Jojo kujaribu kuweka mdomo mbele,karibu Sharon akamalize.


Jayden tukimalizia malizia,ashafika nyumbani na anakaa ako soo down sana,hadi Baraza akamuuliza kijana yangu shida ni nini? Jayden akamwambia hakuna kila kitu iko sawa but deep down,Barasa na Salome walifeel there is more to that na wakashuku huenda babake Jojo hajampenda Jayden

End

"Diamond alikipenda kifua changu wala hakufuata makalio",Zuchu amesema.


 

NEEMA CITIZEN TV 18 APRIL 2025.


 ππ„π„πŒπ€ πŸπŸ–π“π‡ π€ππ‘πˆπ‹ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 

Dancan siku iliyofuata,aliamkia kwa kwa bank akachukua loan na akaleta kwenye yafaa afanye kazi. Huh! Mchezo wa town. Kisha Dan akauliza,kama kuna kareceipt for formalities kiasi,akaambiwa hata wee usijali,sisi tunafanya business legit so usiwe na wasiwasi...alaaaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚kisha Dan akasema mnajua bibi yangu haamini saaana so mnaonaje hata mnipe gari moja ndio at least akiniona na gari ataamini sana? Wakamwambia hata usiwe na shaka,twende uchague gari lenye unataka.


Salome alikuja kuchagulia Jayden nguo mzuri yenye atavaa akienda kuona Eddy,leo ni siku ya kijana kumeet na father in law and his mum ameona amchagulie.


Kwa Mark, Amani alikuja kuomba msamaha kwa venye alimisbehave hivyo kisha akauliza Jojo, mbona unapenda kuongelea Mark vibaya na venye jana he was there first thing after umemcall,that means he is a good guy. Jojo akamwambia sikiza, I call my dad kwanza but alikua busy. Amani aliambia Jojo, Mark ni msee mfiti sana ni wewe tu ndio unapenda kumchomea akae jamaa mbaya but all along wewe ndio mbaya na venye unakaa uso kama ugali.


Eheeee! Dancan amepewa gari amekuja nayo,na wako na furaha sana,kwanza Sharon kuona bwanake amebuy gari nduru si nduru. Sharon alicall akina Isabelle akawaambia nyi hamjui bwanangu,anakuanga na bidii sana na soon atanunua mansion kubwa sana. Yani Sharon ako very happy kuruka.


Hapo na hapo,Val ashapiga picha ametumia Jojo kumwambia wako na gari... Jojo anauliza Val kwani mumeshinda jackpot ama? Val akamwambia zii,ni God tu manzeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Mikakati zishaanza kupangwa kupeleka Mark sayuni. Karen pia anapanga zake venye atadeal na Neema.


Mark yeye hana habari anafanyiwa plans na wenye wanapanga hadi wanapitana na yeye but ju yeye anajua hana ubaya na mtu,haezi shuku anything.


𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐  

Siku ni ya Jayden kumeet Eddy na hata Jojo na Eddy washafika. Jojo alifanya intro akaambia Eddy kuhusu Jayden before afike.


Huh! Sasa kuna shida hapa,Jayden kufika Eddy akamuuliza,so wazazi wako wanafanya kazi gani? Jayden akamwambia babangu ni fundi wa radio na simu. Eddy akacheka,akamwambia acha jokes kijana unakuanga comedian? Jayden akasema zii,iam serious babangu huunda simu na radio. Eddy akaona huyu ndio anataka kuoa mtoto wangu,aaaaaaiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


On other side, sherehe ishaekwa Sharon ashaalika akina Neema kwa hotel ingine kubwa sana. Huku ni kukula wakikunywa tu hadi Sharon anauliza Neema kama ashawai fika kwa hii hotel kubwaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Sasa Sharon badala wafocus na sherehe akaanza upuzi. Mark aliambia Dan at least utakua unafanyia kazi karibu na familia na Sharon akaambia Mark,eeh kama tu huyo bwana wa Neema amerudi kutafuta familia yake baada ya kujua umuhimu wa familia,lakini Babu aliambia Sharon,saa zingine ongea sense, si kuongea ongea na sura kama ugali. Babu hapendi Neema akiongelelewa kitu mbaya.


Kumbe kwa hii hii hii hotel,maskini wa Mungu wale magaidi walitumwa kumaliza Mark,walikua hapa hapa watching. Makosa sana.


Jojo alisuggest ile idea ya waende na Jayden majuu kusomea huko lakini Eddy akamwambia aah, hapo kiasi unarash my daughter. Eddy anasema hivi ju anaimagine ati Jayden na Jojo anaona never.


Sasa,Jojo alijiexcuse kiasi kuosha mikono akaacha Jayden na Eddy kwa meza. Eddy akaambia Jayden sikiza, huu ujinga unataka kuenda na mtoto wangu majuu sahau kabisa,unapanga kama nani? Jayden akamwambia hata niliambia Neema na akakubali lakini Eddy akamwambia mimi ndio babake na mimi ndio kusema plus unaenda na yeye utamlea na nini na hata pesa za pikipiki hauna? Jayden alijitetea lakini Eddy akamwambia mtoto wangu hatasomeshwa na pesa za msaada,and that will never happen. Eddy aliona Jojo amerudi akanyamaza but akaona tu environment akajua si kuzuriπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


On other side,gaidi alicall Eddy akamwambia,huyu Mark anatembea tu na bibi yako na watu wengine.Eddy akamuuliza so? Jamaa akamwambia yafaa awe peke yake kwanza ju akiwa na watu inakua ngumu kiasi. Eddy,anataka kumaliza Mark.