ππ„π„πŒπ€ CITIZEN TV πŸπŸ•π“π‡ π€ππ‘πˆπ‹ 2025 π–π‘πˆπ“π“π„π


 ππ„π„πŒπ€ CITIZEN TV πŸπŸ•π“π‡ π€ππ‘πˆπ‹ 2025 π–π‘πˆπ“π“π„π 

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 

Mark na Jojo wakifika nyumbani,walipata Neema ashafika already hadi akawauliza yoh,mnatoka wapi? Mark akaambia Neema usijali tulikua na kasmall meeting an Jojo na beef yetu imeisha hadi Jojo akaomba msamaha? Neema akamuuliza Jojo kama ni kweli,Jojo akasema ni kweli but mjue my stand remains...Mark hivyo ndio aliokolea Jojo wasijue alikua kwa trouble.


Mark alimuuliza Neema kuliendaje meeting yake,Neema akamwambia amejitetea na nishampea warning asijaribu kuja between us or else atajua hajui...that was good for Mark as well na tena Mark akamkumbusha Neema akamwambia Barasa alikua ametualika kwake for dinner..si kawaida ya Baraza but Mark alimwambia ni asharudisha wife.


Maelek aliuliza Neema kwenye Ian ako but Neema akamwambia babu yake amemkatalia akasema maybe sisi tuko na maneno yetu kiasi. Babu alichanuka akaona,aha achukue Ian,ndio Mark na Neema wawe na good timeπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Kumbe Mark wakijipanga kuenda,Jayden na yeye alikuja kwa Mark washinde na Jojo ndio apee akina Mark na Neema time ya kuongea na wazazi wake na hata Jayden amekuja na movies wawatch ziwakeep busy ju its been a while. Jojo akamwambia ni venye tumekua na tu ish! ish! kiasi, Jayden akamwambia ni kweli,ni venye sometimes nafeel haunipi priority. Jojo hakuambia Jayden walienda an Amani out kikawarambaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Dancan na yeye kazi ni paper work tu kwa biashara yake but Sharon anamwambia my dear,hata kama sijui mbona nafeel fishy kiasi kuhusu hii biashara yako but Dan alimwambia usijali bebes,wee tulia nikuonyeshe maajabu. In as much Sharon anataka sana waomoke, anafeel deep down hii biashara si poa. Dan anapiga mahesabu anaona pesa ako nazi hazitoshi so yafaa achukue loan lakini Sharon akamuuliza na security utaeka kama nini ju unajua loan lazima uwe na security? Dan akamwambia so niliona,security niweke hii nyumba yetu. Sharon alishtuka,hadi akaruka juu, "ati what" nyumba yetu uwekelee kama security kwa loan, NEVER EVERπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Mark washafika kwa Barasa. Neema na Salome walikua jikoni wakaongea about their issue kiasi za ndoa na za kitambo.


Jojo ana Jayden wako busy wanawatch movie fulani hapo ya Dj Afro,movie ya Alu Arjun akipiga akina Nanabai na RajubaiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚wanaenjoy sana.


Huku Sharon amewaka anauliza Dan,kwani unaniona mjinga aje? Dan akawaambia sikiza,msiwe na wasiwasi,but incase hii ifail tutauza magari tununue nyumba ingine but Val akamuuliza dad,mbona basi usiweke hayo magari kama security? Dan akasema shida bank haikubali magari kama security. Dan aliwapanga Sharon na Val hadi akaambia Sharon,kubali tu niweke nyumba na nitakung'arisha hadi Neema akikuona anasikia tu poa and just like that,Sharon akafanya one,very big mistake,akakubali,aah! Makosa. wah!


𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐 

Siku iliyofuata,Neema washakuja kazini na Mark huku Neema anaambia Mark, very soon vitu zitakua sawa ju ashapea Eddy stopper hatawai kuwasumbua lakini punde si punde,mwenye alipewa warning alifikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Yani Eddy tu! Neema akauliza Eddy after kukuambia? You still have guts to come but Eddy akamwambia relax,sijakuja kwa niaba yako,nataka kuongea na Mark man to man...Mark akaona haina shida,twende tuongee.


Eddy alikuja akaomba Mark msamaha kwa kumkosea heshima na Mark akamwmabia haina shida,iam ok,kisha Eddy akaambia Mark,nashukuru sana kwa kusaidia familia yangu but ju nisharudi,kindly I want to take over responsibility lakini Mark akaambia Eddy,unajua hauna akili,mimi sijakuzuia anything na sina uwezo wa kukukataza huo ni uamuzi wa Neema na shida ni hutaki kukubali kuwa Neema hakutaki tena but Eddy alimwambia sikiza,najua Neema sana bado ananipenda na soon atanichose mimi but Mark akamwambia you do whatever you want to do but no at one point umhurt ju nitakutandika vibaya sana..Eddy akamwambia ni sawa,lets see,kati yako na mimi atachose nani and let the battle start.


Eddy alitoka akaenda na akapigia jamaa fulani simu,akamwambia nataka unitafutie wanaume watatu wazuri,nataka wanifunzie mtu adabu. Eddy ameamua kutumia rough way kudeal na Mark sasa,wah! Nikubaya.


On other side, Barasa na Salome penzi limerudi sasa,hadi wanaamka kusaidiana kazi hapo nje. Jayden bado kiburi ako nayo na leo hii anaenda kukutana na babake Jojo,na Salome akamwambia by the way, make sure first impression,it reall matters na hata naeza kukuchagulia nguo poa. Jayden hakukataa akakubali na ina maana kiburi kimeanza kupungua.


Eddy na yeye alienda akatafuta jamaa,gaidi mbaya sana akampea kazi na akamwambia you only have one mission to accomplish,kesho nataka akusikia Mark amevunjwa vunjwa vibaya sana,wueh! Nikubaya sasa...Eddy ameamua kuumiza Mark ndio aachane na Neema,will it work? Tutaona kesho.


NEEMA CITIZEN TV 4 TH APRIL 2025.

 ππ„π„πŒπ€ πŸ’π“π‡ π€ππ‘πˆπ‹ π–π‘πˆπ“π“π„π π„ππˆπ’πŽπƒπ„



𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 

Kwa kina Mark,story ni Babu Jay na Isabelle venye walikua kwa beach..kumbe hii weekend walienda honeymoon na wakajenjoy sana,si kwa beach,si kupanda ngamia and every enjoyment walikua nayo.


Punde si punde, Sharon akamcall Isabelle,akamuuliza uko wapi? Isabelle kusikia sauti ya Sharon akajua Sharon hayuko sawa akamuuliza shida ni nini? Sharon akamwambia niko sawa,wee fanya chenye unafanya ukirudi uniambie,nataka tuongee....Sharon,anataka kuongea na Isabelle.


Kumbe Eddy na yeye,alikua kwa bossy wa Mark,akamdanganya ati ooh alikua ametravel ju ya biashara na hata Neema ni mke wake. Bossy akamwambia hata ndio anashangaa sana kusikia Neema ako na hubby ju hajawai sikia. Eddy akamwambia so soon nataka kufungua hotel na I guess Neema hatakua anakufanyia kazi tena..Bossy akamwambia na Neema mwenyewe hajaniambia? Eddy akamwambia usijali,atakuamba tu soon.


Kumbe sasaπŸ˜‚πŸ˜‚Amani na Jojo washaanza kuingiana and hii ni baada ya Jojo kumgonga. Jojo akamuuliza ulikua unaenda wapi huku? Amani akamwambia nilikuja kuonana na mzee anaitwa Mark and take some photos za greenhouse although nimeambiwa hapendi mzee wa mapicha picha? Jojo akamwambia Mark namjua,so nitaongea na yeye utakuja kutake photos...Amani akamwambia thats good,si hata unipe number zako just incase uwe free kesho nikuja unipeleke? Jojo akamwambia haina shida, kesho hata nitakua free so nitakupeleka.


Amani already ashaanza kupiga Jojo photos but Jojo akamwambia yoh, don't take my photo sipendi picha kabisa,so Jojo akachukua camera kudelete ile picha lakini kuangalia ile picha akasema nini "this is actually good,so keep it haina haja iwe deleted" πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Its around saa tatu ya usiku,Jojo ndii anafika nyumbani,na kumbe amekuja na Eddy..Neema aliona Jojo akismile akamuuliza ni nini? Kumbe washapanga,Eddy akuje na maua kumpea Neema na bila Neema kutarajia,Eddy alikua ashaingia amepiga magoti akimuita my love,take this flowers...Neema akachukua maua na akaambia Eddy, yes this means alot to me na hadi akanusa ile maua akasema wooow this flowers smells nice,hii time yote Mark amenyamaza na amekasirika sana anashindwa mbona Neema achukue maua. Alafu cheki Eddy akaangalia Mark na akasmile na ile macho ya "huyu ni wangu bro"..lakini Neema aliaimbia Eddy sikiza,maua mazuri lakini unasahau kitu moja,to me wewe ni stranger and a nightmare so hutu tupuzi unajaribu kufanya yafaa ujue iam someone's wife to be...Kisha Neema akatupa maua chini na akakanyaga...Mark na yeye akaangalia Eddy and this time round,ni Mark alismile na akaangalia Eddy na ile macho ya "huyu ni wangu brother"πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Baraza na yeye akiwa kwake,alibishiwa mlango,kumbe ni Salome na amekuja na bag,na kila kitu chake.


𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐 

Eddy alianza kujam sasa,anauliza Neema mbona unikosee heshima mbele ya mtoto wangu? Neema alimwambia huu ujinga uachane nao,hii blackmail yako sahau kwangu...Mark aliona huyu anapiga kelele akaamka akaambia Eddy,kwangu kelele hutaweza bro..karibu hadi wapigane na Neema akaambia Eddy,wewe chenye nangoja ni divorce tu lakini Eddy alimwambia hakuna divorce hapa,hii yenye unangoja it will take 1yr.


Neema kusikia hivyo,alimcall Richard akamuuliza,si ulisema notification ya divorce takes 1 month? Richard akamwambia yeah but Neema akamuuliza na mbona Eddy ako hapa anasema it wil l take 1yr? Richard akamwambia ni uongo,hakuna kitu kama hiyo,na hakuna kitu ameappeal. So Eddy alikua anadanganya tuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Jayden alikuja akauliza mamake unafanya nini hapa? Salome alimwambia anataka kutulia huku but Jayden alikataa,akamwambia sikiza, sina mama mimi,na wewe si mamangu...Salome alianza tu kulia. Jayden alimwambia mimi mtu najua ni babangu and he is everything to me,so wewe sikujui na sikutambui.


Kwa Mark kulianza kuchemka, Eddy anauliza Neema, so uliona nini kwa huyu mjinga,yani hata huna aibu kufanya hivi mbele ya mtoto,na akianza kuchukua tabia zako za kukaa na mwanaume mwingine?(huyu ni Mark anaitwa mjinga) alafu Jojo pia kanachangia sana but Mark akauliza Eddy, naona unaongea sana,and you are not man enough to confess to your daughter right? Jojo akauliza babake,Mark anamaanisha nini kuconfess kwangu? Eddy akamwambia huyu achana na yeye..Eddy haezi taka Jojo ajue ati alikua na mwanamke mwingine.


Richard na Naomi wake bado wanaletana tu but Richard ashaamua,yeye na Naomi zii...


Salome alikaribshwa na Baraza na hata wakaanza kukula hapo na kumbe Salome ako njaa sana..alikula chakula,mbaya sana. Baraza hana shida na bibi yake,shida ni Jayden.


Salome ashaambia Baraza yeye na Francis washadivorce na Baraza akamuuliza was it by mutual agreement? Salome akamwambia yeah,it was mutual na hata shares zangu niliacha huko.


Jojo kako na mdomo sana. Neema anaambia Jojo watch your mouth lakini Jojo alisema zii,siezi kaa hapa ninyamaze after chenye umefanyia babangu. Mark aliambia Jojo,watch sana mdomo yako lakini Jojo akamwambia wee pia nyamaza,wewe si babangu. Mark akamwambia yeah,you are very lucky iam not your dad ju ile kitu ningekufanyia wewe...Jojo akamwambia nyamaza ndovu,huwezi kuwa ba...b...hata Neema hakungoja Jojo amalizie, alikasukumia kofi moja,mbaya mbovu. Hadi Mark mwenyewe akashtuka. Cate na Tom wako hapo wanajionea kila kitu.


Jojo hana adabu kabisa na kama huwa unawatch Neema na watoto wako,ikifika part ya Jojo,tuma mtoto aende achote maji kwa duka  ama hata aende anunue kiberiti kwa hardware ama umwambia aende butchery aulizie kama wako na panty za 30 bob.


Jayden alitoka,babake akamuuliza unaenda wapi na ni usiku? Jayden akamwambia naenda workout kiasi na usiningoje nitachelewa. Salome aliambia Baraza,our kid really hates me but Baraza akamwambia usijali,its just a matter of time atakua sawa

"Sitamsamehe Ruth K kwa kutoka nje ya ndoa",Mulamwah amevunja kimya.





 

NEEMA CITIZEN TV 15TH APRIL 2025. FULL PART 1 AND 2.

 ππ„π„πŒπ€ 𝟏


πŸ“π“π‡ π€ππ‘πˆπ‹ π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 

Team Neema,usipite hii kaa haujaeka CLICK ADVERT MOJA

Like ukiendelea kusoma.

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 

Mark alienda akaleta ile barua yenye amepewa kwa gate na Grace but kuuliza Kate kama anajua Grace,Kate akamwambia zii,hamjui..Mark akamwambia amenipea hii barua. Kate kufungua barua,akaona ahaa imetoka kwa Uncle Lari,akaambia Mark nishajua Grace,msimamishe please...Grace ni mtoto wa Uncle Lari na hii barua imetoka kwa Abel..Abel ni nani? Abel ni mmoja wa wale wenye walikua wanatafuta Kate..Neema akamuuliza kama barua ni ya Abel si wewe kwisha? Kate akamwambia zii,Abel ni mtu mfiti hana maneno.


Mark alimuita Grace akamwambia sorry nilikudanganya Kate hayuko but amesema you can come.


Karen na yeye,alitumiwa text na Alphonse,akamwambia nipe your location nifike mbio sana. Karen akajua baaasi,chuma cha Naomi ki motoni sasa,kwanza washaagree na Alphonse kudeal na yeye,atapenda!


Kate na Grace ni miaka sana hawajaonana,so it was a happy moment kukutana...Kate alintroduce Tom kwa Grace na already Grace alikua anajua jina tu,but hakua anajua anakaa aje,sai ndio anaona ahaa,haka ndio kaboy  πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Eddy  na yeye alimcall Neema,Neema akamuuliza unataka nini? Eddy akamwambia iam sorry everything happened so fast,unaonaje tumeet tuongee? Neema alimwambia sikiza, stay away from,kaa mbali sana na mimi! Neema hataki anything to do with Eddy alah!


Tufike kwa msimbitini wetu,Dancan,amekuja kutafuta kachai huku kwa hotel na kumbe kuna beshte hapo anamjua,akamuuliza kazi iko aje? Dan akamwambia kiasi sai sina kazi,nafikiria maybe biashara kiasi. Akaulizwa biashara gani? Dan akamwambia biashara za magari hivi hivi...jamaa akamuuliza na pesa uko nazo mkuu,ju biashara za magari hutaka pesa mob sana. Dan hana pesa,lakini cheki,hapo tu kwa hotel,kuna jamaa alikua anasikia Dan wakiongea na akakuja hapo akamwambia mzee,nasikia unataka kufungua biashara? Dan akamwambia yeah...


Huku kwa Mark, tena Amani alikuja na ameleta zile picha. Amani alimwambia sorry about your watch na inakaa kuna memories zinakuaffect sana? Mark hapendi mtu anamuuliza uliza maswali,akamwambia si umeleta picha kijana,unaeza enda sasa lakini Amani alimuuliza,jana nilisikia story sana,does it mean kuna mtoto ulipoteza ama? Mark alisimama akaambia Amani sikiza, its good to be curious but si poa kuingilia maneno ya watu wengineπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Mark hana habari huyu ni mtoto wake.


𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐 

Ian ashaamka na mkono wake unauma kiasi. Jojo na Neema wako hapo na wakiwa tu hapo, Eddy akamcall Neema..Neema hakutaka kupick but Jojo akamwambia si dad anacall.. Neema akashika tena akamuuliza unataka nini? Eddy aakmwambia please, nataka tu tuongee,nikuje jioni nikuchukue tuongee... Neema aliona ili kumaliza maneno akaambia tu Eddy sawa sawa.


Mark pia aliwajoin  na amesikia Ian akisema ni uchungu mkono. Kisha Ian akaambia mamake hataki apakwe na mamake,anataka kupakwa na uncle Mark,sasa Jojo akisikia hivo,kinaumwa,mbaya mbovuπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Jayden amekuja huku anataka kuongea na Jojo. Jayden aliona nikama Jojo hayuko sawa,akamuuliza kwani umenijamia ama? Jojo akamwambia zii,mbona? Jayden akamwambia your face tells it all..Jojo akamwambia si ni wewe jana umesahau chenye ulisema jana nikijaribu kusema mamangu asiwe na Mark...Jayden akamwambia zii, plus unaona hata Amani alienda na babako na mimi hata introduction pekee hujawai fanya. Jojo akamwambia now wait. Jojo akacall babake akamwambia anataka wameet na boyfriend wake kesho,Eddy akamuuliza Ben? Jojo akamwambia zii,si Ben huyo tuliachana,ni mwingineπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚woiye Jayden.


Dancan na yeye amerudi nyumbani akiwa very happy,akaambia Sharon guess what,nimepata deal ingine safi sana,Sharon akamuuliza gani? Dan akamwambia kuna jamaa amesikia nataka kuanza biashara za magari,so wamenipea deal na naona tutaomoka sasa..lakini Sharon akamuuliza,pesa utatoa wapi? Dan akamwambia unajua kuna tupesa nilikua nasave kiasi tutaanzia hapo..Sharon akamwambia ooh,so kumbe uko na tupesa na venye nimekua nateseka hapaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Ian ashatengenezwa mkono na akaambia Mark na Neema venye anawapenda. Ian aliambiwa aende kuwatch cartoon. Neema akaambia Mark,Eddy anataka sana tumeet and set things straight about our kids..Mark akamwambia haina shida,its better done once ndio aache kutusumbua sisi.


Jayden amerudi home hadi babake anashangaa amerudi haraka sana. Jayden alienda kuongea na Jojo but maongezi haikufanyika. On other Barasa akaona ndio hii nyumba yao iwe na mood poa,acha apange siku wainvite akina Mark wakuje wakule wakipiga story za maisha.


Kuna barua Salome alikua ameachia Jayden kwa bed,ingine sasa but sasa si barua barua,ni bahasha ya picha za Jayden akiwa mdogo.


Amani alimcall Jojo akamuuliza kama aliona photos? Jojo akamwambia yeah,niliziona..Amani aliambia Jojo nimeboeka sana na huku sijui mtu. Jojo akamuuliza so ju umeboeka ukaona unicall sindio? Amani akamwambia unaonaje ukuje nikupeleke pahali iam sure utafurahia..Jojo akamwambia I think hauna kichwa mzuri wewe..Amani akamwambia come, trust me utafurahia..Jojo akasema shida kuna bro wangu siezi muacha peke yake but Amani aliinsist sana.


Sasa hawa na waoπŸ˜‚πŸ˜‚Neema na Eddy wako kwa gari wanaenda kuongea,na hawaongeleshaniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚wamefuriana vibaya sana. Wanaangaliana kwa macho za pembeniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Haya wakuu sitaki kuwachosha saaaaana kuwakumbusha tu kama uko n 20bob unaeza pata 250mbs 24hrs ukitumia hii till 4500526

Neema Citizens TV 14 TH April 2025 written Updates

 ππ„π„πŒπ€ πŸπŸ’π“π‡ π€ππ‘πˆπ‹




π–π‘πˆπ“π“π„π 𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄𝐒 

𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟏 

Ahaa! Huku kwa Mark mambo ni fiti tu hadi Mark anakimbizana na Ian wakicheza and Ian is super excited. Kuna zawadi Mark alikua amebuyia Ian na ishafika wakati wa kumpea na kumbe hii zawadi,sikiza, Mark kuna zawadi alipewa na babu yake,na hii zawadi ameamua kumpea Ian,lakini punde si punde,Eddy akafikaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Ian akaambia babake,dad, ona uncle Mark amenipea zawadi,lakini Eddy akachukua ile zawadi ya watch akaitupa akaambia Mark sikiza, kama ni zawadi unataka wa kupea enda pea mtoto wako Joseph.but for my kid na bibi yangu achana nao, Neema akaambia Eddy acha ujinga,who is your wife?


Eddy amejam lakini alifanya makosa,akamshika Neema mkono cha nguvu,ati aende na yeye,hahaaaa! Eeh,Mark alimshika Eddy anakumfunika kofi moja tu,hadi chini! Cheza na mwingine lakini usicheze na bibi yangu mtarajiwaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Vita zilikua zinazuka hapo but watu akina Amani na Jayden wakaingia wakashika wanaume wawili. Eddy ilibidi ameenda,hata hakua amemaliza 3min hapo,venye tu alikuja, ilibidi arudi na kofi safi sana. Yani alifunikwa kofi akaokotwa hapo chiniπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Jojo na yeye amejam,anasema venye Mark ako mannerless but Jayden akamwambia zii,ni babako ameanza hii yote,Mark hana makosa hapo.


Mark alikuja akaongea  na Ian,akamwambia kid,iam sorry,iam soo sorry kwa kutandika babako,but mtu kama huyo yafaa asalimiwe na kofi..Ian alielewa Mark,na hata wakaenda na yeye. Jojo akiona hivyo,anatamani kupasukaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Barasa alikaa akaona wueh,bibi hanunuliwi sokoni,alitoka mbio akamfuata Salome and good thing,Salome hakua ameenda mbali. Barasa alimfuata akamwambia please please, you can't be running kila saa sasa sai unaenda wapi? Salome alimwambia hata pia sijui kwenye naenda but naenda tu,but Barasa alimwambia please,I can't leave without you,nimeishi na hii wound na ukienda sitapona tena,I need you Salome.


Sasa Jayden na Jojo,washaanza kuletana juu, Jayden anaambia Jojo venye wako soo close sana na Amani na wamejuana tu only...Jojo anaambia Jayden sijui huwa unanibeba aje lakini Jayden anamwambia zii,si hata umeona ametoka na babako hapa?


Huku nje, Amani aliuliza Eddy,kwani shida ni nini,si you two are divorced? Eddy akamwambia zii,nilikua nimeenda tu away kiasi but nimerudi,lakini Amani akamuuliza,kuna kitu umesema ati ile zawadi angepea mtoto wake Joseph kwani unamaanisha nini? Eddy akaambia Amani sikiza,huyu Mark niliambiwa story,ati alikua na dem na hakujua walipata mtoto,mbona asiende kupea huyo mtoto zawadi na amejua juzi tu? Amani akamuuliza wait,so unamaanisha Mark hakua anajua ako na mtoto? Eddy akamwambia eeh,but ameambiwa juzi tu na akajua...Eddy hana habari huyo mtoto ni huyu Amani but sasa hii pia imeshtua Amani kujua kuwa Mark hakujua Amani existed,until recent. πŸ˜₯πŸ˜₯πŸ˜₯


Turudi kwa Mark na Jojo,Mark anauliza Neema,mbona Eddy anabehave hivyo? Neema pia anashangaa kwanza anasema si yeye alialika Eddy..lakini Jojo alikuja,akasema ni mimi nilialika dad akuje..Neema akamwambia now,ashaharibu party ya mtoto wake are you happy now? Jojo akamwambia zii,makosa ni ya huyu mwanaume Mark,why is he all over Ian? Jojo kanadhani kalisaidia,but ni kuharibu kaliharibu! Jojo thinks Mark is closing boundaries kuwekea Ian party.


𝐏𝐀𝐑𝐓 𝟐

Mark alikuja jikoni at least akunye maji kiasi na akiwa hapo,Neema alikuja akamlalia kwa mgongo,huku anamwambia manze,iam soo happy to be in love with you,kwanza venye umeomba msamaha kwa Ian,you have just melted my heart. Kumbe wakiongea,kwa mlango Sharon alikua anasikiza kila kituπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Sharon after kusikia kila kitu alibisha akaingia, alikua analeta sahani na akaambia akina Mark,msichome nyumba ju kuna joto mingi sana hapa...but all in all, Mark aliambia tu Neema kitu moja, I love you na Neema akamwambia I love you more & Good Night.


Amani pia ashakuja kwenye huwa analala but kitu kinamkula kichwa ni maneno Eddy amemwambia kuwa,Mark never knew hakua na mtoto...


Jayden pia ndio anafika nyumbani,hakupata mtu but kwa bed yake,akapata ile barua na akaipitia venye mamake ameomba sana msamaha kwake..kumaliza kusoma, Jayden akatoka mbio kuenda kutafuta mamake na kufika kwa mlango akakutana na babake ndio wanarudi,akauliza babake,dad,kwani madhe alienda? Kumbe Salome alikua nyuma,kumbe Jayden ashaanza kurealize he needs his mum.


Sharon na yeye amefika nyumbani badala ya kulala,ameanzana kelele na Dancan πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚


Barasa alikuja akaongea na Jayden akamwambia mamae alikosa ndio but ashalipia ya kutosha. Jayden akamuuliza so ushamsamehe? Barasa akamwambia yeah,na ju asharudi hapa,then it means she also loves us,so please pia msamehe.Jayden anakaa mgumu but hope he realize that mapema.


Siku iliyofuata,kila mtu ashaamkia mezani wanakunywa chai  na Ian amekaa karibu na Mark. Sasa Jojo kukuja,akauliza Mark,kwani wee mwanaume hujawai choka,mbona unaishi kuplay father kwa Ian? Ian akaambia Jojo wee pia yafaa ujue umekua mtu mzima,unaishi kuchukia uncle Mark na venye ametusaidia? Jojo akamwambia apana Ian,kumbuka uko na baba lakini Ian akamwambia zii,baba mgani mwenye aliharibu birthday yangu jana? Jojo akamwambia wee hufai kusema hivyo kwa baba yetu,lakini Ian alimwambia sikiza Jojo,uncle Mark ametusaidia sana,kwanza wewe amekutetea sana ukiwa kwa mashida,napenda uncle Mark na pia napenda baba yetu but wewe ni mkubwa hufai kudisrespect uncle Mark..Ian alipea Jojo stopper ingine kali sana.


Mark akiwa ametulia hapo nje, gate kulibishwa na wakati anafungua,akapata ni dem fulani hapo mwenye hajui. Dem aliuliza Mark kama Kate ako but Mark akamwambia zii hayuko...Huyo dem akapatiana barua fulani na akaambia Mark,Kate akirudi utampea hiyo barua lakini Mark akamuuliza wee,unajuaje Kate? Huyo dem akamwambia nini "mwambia tu ni Agness"